Rais Samia ataenda tena kujitambulisha wapi? Sijasikia akizindua hata mradi mmoja

Sasa tunaanza kuelewana kuwa tuanzo taratibu na sheria mbovu. Rais anazo nguvu na mamlaka makubwa kuliko kuliko taasisi, analosema ndilo huwa, hata kama halimo kwenye taratibu hata kama halimo kwenye ilani,......mtamdhibiti vipi wakati mmempa kila kitu.
 
Baada ya Mkoa wa Chato mkoa upi utafata?
 
Kuzindua miradi siyo kazi ya Rais pekee, Urais ni Taasisi, changamoto tuliyonayo kwa sasa na bahati mbaya hatutaki kubadilika ni kwamba Magufi alifanya "power monopoly". Kila kitu alitaka kufanya yeye, mama anauelewa mkubwa wa maana ya uongozi hususani "Urais".

Kazi kubwa ya kiongozi wa juu (Rais) ni kuunganisha watu, kuonyesha njia iliyo sahihi na kuhamasisha watu wake kujiletea maendeleo kwa kuwatengenezea mazingira wezeshi. Safari ya Kenya inamanufaa makubwa mno kwa nchi yetu, sisi wakulima tunajua.

Waziri mkuu ndo mtendaji wa shughuli za kila siku za serikali, tumuachie huyo kuzindua miradi mpaka pale Rais itakapo bidi. Muda wakujitangaza kila kitu unachokifanya umeisha sasa ni kuacha nature ijitangaze yenyewe.

Uongozi jumuishi ndo uongozi uliofanikiwa sana Duniani, kwanza unapunguza makosa (errors) na unajenga sustainability ya kile unachokijenga. Mama anatakiwa aungwe mkono na kila mtanzania anamaono makubwa (she is visionary leader). Nimalizie kwa kukili tu kwamba sera za mama ni sera nzuri mno na inafaida kwa taifa.

Mwisho, Ujasusi wa Kiuchumi huongozwa na kichwa yaani akili, siyo mabavu. Safari ya mama Kenya tayari ilishafuta na kulisafisha taifa letu juu ya mahindi yetu kuwa na "sumu kuvu" yaani Aflatoxin (big brain ya mama ipo hapa). Hili halikuhitaji kikao maalumu ni kujishusha tu na kulimaliza. Hongera mama, go on your in the right track.
 
Utawala wa sukuma gang umewaacha mkiwa hamuamini kmmk zenu na bado mtashusha nyuzi humu mpaka mtaota sugu. Kibalini tu kuwa nchi hii haitakaa itawaliwe tena na sukuma gang!

Shenzy zao,

Kama wanaumia Sana basi wakamfufue,

Wanatupigia kelele sana
 
Kama kina wauma waka lale nae pale kaburini Chato.
Jamaa tumesha msahau wao bado wanadhani ata amka.

Au kama vip waongee na Gwajima akawasaidie kumfufua,maombolezo yameshaisha na tushamsahau
 
Atazindua mingi sanaa kuna daraja la kigongo busisi + tanzanite+ interchange ya kamata+ sgr zinamsubiri azindue ww kaa tu mkao wa kula
 
Bado unamuota Mheshimiwa mungu .pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ