Kabisa yani mtu hali akashiba anawaza leo nikaponde kwa mada ipi.Mnachosha
Sasa tunaanza kuelewana kuwa tuanzo taratibu na sheria mbovu. Rais anazo nguvu na mamlaka makubwa kuliko kuliko taasisi, analosema ndilo huwa, hata kama halimo kwenye taratibu hata kama halimo kwenye ilani,......mtamdhibiti vipi wakati mmempa kila kitu.Akiwa nchini Kenya, Rais Samia alieleza kuwa nia ya kuizuru Kenya mapema sana ilikuwa kujitambulisha kwa majirani kwa kuwa alikuwa "mpangaji mpya"!
Leo akizungumza na wanaoitwa "wazee wa Dar es Salaam" amekariri tena ya kuwa ataendelea kuzuru nchi mbalimbali akitoa sababu ileile ya "kujitambulisha kwa majirani" akiwa ni "mpangaji mpya"!
Kiongozi mzalendo anawajibika kueleza manufaa ya kila anachonuia kufanya. Inashangaza ni kwa nini Rais anakimbizana kujitambulisha kwa majirani, yaani utii wake upo kwa majirani na siyo kwa mwenye nyumba, watanzania waliompangisha Ikulu yao.
KWA kuwa mwenye nyumba anayo madhara ikiwa ni pamoja na kutompangisha tena, nilitegemea angeweka kipaumbele kuwazuru wananchi kwanza ndipo aanze kupepea iwapo kuna manufaa ya umma katika kupepea.
Nawasalimu kwa jina la Mwenyezi Mungu aliyeumba Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Kazi Iendelee ๐น๐ฟ๐น๐ฟ
Baada ya Mkoa wa Chato mkoa upi utafata?UWANJA WA SOKA WA KISASA KUJENGWA CHATO... Serikali itajenga Uwanja wa soka wa kisasa katika eneo la Chato na utajulikana kama Chato Stadium.
Waziri wa Nishati, Medard Kalemani amesema Uwanja huo utakuwa wa pili kwa ukubwa baada ya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Kalemani amesema Uwanja huo utatumika kwa ajili ya kuvutia watalii na wawekezaji katika masuala ya utalii.
Waziri Kalemani amesema Uwanja huo utaanza kujengwa hivi karibuni.
Kama kina wauma waka lale nae pale kaburini Chato.Hebu tufike mahali pro magu mkubali kuwa jamaa hayuko nanyi kimwili wala kiroho tena
Utawala wa sukuma gang umewaacha mkiwa hamuamini kmmk zenu na bado mtashusha nyuzi humu mpaka mtaota sugu. Kibalini tu kuwa nchi hii haitakaa itawaliwe tena na sukuma gang!
Kama kina wauma waka lale nae pale kaburini Chato.
Jamaa tumesha msahau wao bado wanadhani ata amka.
Wanalinda legacy [emoji3][emoji3]
Atazindua mingi sanaa kuna daraja la kigongo busisi + tanzanite+ interchange ya kamata+ sgr zinamsubiri azindue ww kaa tu mkao wa kulaAkiwa nchini Kenya, Rais Samia alieleza kuwa nia ya kuizuru Kenya mapema sana ilikuwa kujitambulisha kwa majirani kwa kuwa alikuwa "mpangaji mpya"!
Leo akizungumza na wanaoitwa "wazee wa Dar es Salaam" amekariri tena ya kuwa ataendelea kuzuru nchi mbalimbali akitoa sababu ileile ya "kujitambulisha kwa majirani" akiwa ni "mpangaji mpya"!
Kiongozi mzalendo anawajibika kueleza manufaa ya kila anachonuia kufanya. Inashangaza ni kwa nini Rais anakimbizana kujitambulisha kwa majirani, yaani utii wake upo kwa majirani na siyo kwa mwenye nyumba, watanzania waliompangisha Ikulu yao.
KWA kuwa mwenye nyumba anayo madhara ikiwa ni pamoja na kutompangisha tena, nilitegemea angeweka kipaumbele kuwazuru wananchi kwanza ndipo aanze kupepea iwapo kuna manufaa ya umma katika kupepea.
Nawasalimu kwa jina la Mwenyezi Mungu aliyeumba Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Kazi Iendelee ๐น๐ฟ๐น๐ฟ