frankshops
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 212
- 179
Nacho hii watz tuna jumbo la kufanya,kukomeshs huu mfumoKupeana kwa urithi
1. Makamba
2. Mizengo pinda
3. Kikwete
4. Mnauye
5.
Mazindiko yanatishaMwigulu kapona!?
Ulitaka ende wapi?Mwigulu kapona!?
Amewapa wenye ajira Ili waendelee kupata zaidiMama hana jipya, Ridhi na Nape wanini tena? Angewapa wengine tu nchi ni yetu sote hii.
KabudiNani amepigwa chini!!??
Babu tale vipi wakuu?
Unajifariji tuuNdio hivi yaani manaa anaacha mawaziri wa maana anateua watu wao hivyo wa kuturudisha nyyuma .2025 atakuwa na wakati mgumu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Babu tale alifaa kuwa waziri wa mambo ya ndani...Supika ajaye!
KapigwaMwanetu MWITA WAITARA vp unaibu wizara ya ujenzi? au kaamishwa ?
Huyu baba hajamuangusha kabisa mwendazake,nadhani bado analikumbuka jalala alikotolewaPalamagamba Kabudi - Alikuwa Wizara ya Katiba na Sheria
Sema wewe ndiye unaye ichukia hiyo familia kwa roho mbaya yako.Huwa najiuliza sijui Kikwete huwa anaifikiria familia yake kwamba ataiachaje siku akienda au anafikiri ataishi milele? Hakuna Familia inayochukiwa Tanzania kama hiyo na kila siku chuki inazidi.
Haya Spika Ndugai yuko wapi ?
Geoffrey mwambe sio Cecil mwambeKwa kifupi sana.
Kitila Mkumbo kapigwa chini.
Cecil Mwambe kapigwa chini
Waitara nae kapigwa chini...
Hawa wote ni miongoni mwa Wana Chadema seniors waliosaliti harakati za ukombozi.
Wacha tusubiri hatma ya Akina Halima Mdee