Rais Samia atangaza mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu
Mwanetu MWITA WAITARA vp unaibu wizara ya ujenzi? au kaamishwa ?
 
IMG_4027.jpg

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huwa najiuliza sijui Kikwete huwa anaifikiria familia yake kwamba ataiachaje siku akienda au anafikiri ataishi milele? Hakuna Familia inayochukiwa Tanzania kama hiyo na kila siku chuki inazidi.

Haya Spika Ndugai yuko wapi ?
Sema wewe ndiye unaye ichukia hiyo familia kwa roho mbaya yako.
 
Back
Top Bottom