Kwa hiyo lukuvi, kabudi na ndugai ndo presidential aspirants waliokuwa wanamnyima mama usingizi........bila shaka ataanza kulala usingizi wa pono, naona mambo ya ndani tumemweka home boy ili tuandae mazingira ya kulinda ushindi kwa virungu.....
 
Tangu timu zianze kuteuliwa zimebadilisha nini kwenye maisha yako binafsi!?

Umasikini wako utabaki pale pale hata akiteuliwa mjomba ako
Najua timu jiwe wazee wankusifu na kuabudu inawauma sana, tulitoka mavumbuni tutarudi mavumbini, muhimu kuishia kwa maslahi ya umma wa Watanzania, sio kikundi Cha watu flani. Leo uyu kesho Yule, Amina.
 
sorry labda mimi nipo nyuma ya wakati, inakuwaje usema Rais atangaza baraza la mawaziri hapo baadae halafu wewe utupatie baraza la mawaziri ambalo hlijatangazwa? ina maana umedukua mkeka wa muheshimiwa?
 
Wewe endelea kuuwaza upinzani wakati hiyo ccm yako ndo bye bye baba jeni.Kama huna akili zakutosha kusoma alama za nyakati huwezi kuona hilo.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Sisiemu itaendelea kushinda viti vya ubunge na urais bila hata kuiba kura, kitakachotokea ni wananchi wachache watajitokeza kupiga kura... bado hamna chama mbadala hapa tanzania... chadema muache kudanganyanya, faraja yenu itaendelea kuwa kuona sisiemu wanapasuana ila mwisho wa siku wataendelea kutawala hii nchi kwa muda mrefu sana...
 
Huwa najiuliza sijui Kikwete huwa anaifikiria familia yake kwamba ataiachaje siku akienda au anafikiri ataishi milele? Hakuna Familia inayochukiwa Tanzania kama hiyo na kila siku chuki inazidi.

Haya Spika Ndugai yuko wapi ?
Labda wewe na familia yenu ndiyo mnaichukia! Kwanza chuki ya nini?
 
LAZIMA SASA RAIS SSH AUNDE KIKOSI KAZI CHA KUFATILIA UTENDAJI KAZI WA MAWAZIRI NA MAKATIBU WAKUU NADHANI INAWEZA KUSAIDIA SANA UWAJIBIKAJI WAO SIYO WANAKUWA WANAGOMBANIA MICHONGO YA PESA TU !!!!!!!!!!!
Huu ndiyo upumbavu tusioutaka. Yani mtu umpe wizara na mshahara alafu uunde kikosi kazi Cha kufatilia?. Pole Tanzania yetu.
 
Huyu Mchengerwa kumpeleka Wizara ya Utamaduni amekosea, kwakeli hata kama ana unasaba nae lakini walau kwa maoni yangu niliona kuna kitu utumishi alikuwa anafanya!!
 
Kwani wasukuma si watu? Mbona ukabila ni mwingi sana siku hizi?? Watu ni kusema sukuma gang tu
Mlivyokuwa mnawasema wachaga mlijua itaishia kwa wachaga tu. Imeanza kusambaa hii dhambi.sasa ipo kwa wasukuma ikitoka uko itaenda kwa makabila wengine. Mpaka mtubu hii dhambi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…