Watu wengi wameshapuuza box la kura. Sioni tena watu wakijitokeza kupiga kura kama awali.
Sahau kuhusu box la kura. Hii nchi haipo shwari kabisa watu wanasubiri catalyst tu wa react.
 
Si angemteua na Salma tujue moja kwa moja kwamba hii Ni awamu ya 4 (b)
 
Mbona waitara simuoni popote? Waloachwa hayumo, kwenye mpangilio wa wizara hayupo pia
 
Lukuvi vipi tena, mbona jembe sana yule mzee!

Nape amekuja kuharibu mpira wetu

Ohoo kumbe ni habari mawasiliano!!!

Kila lakheri mawaziri, msimwangushe mteuzi tafadhari!!!

Hongera sana Riz, tunaofahamu uwezo wako hatuna wasiwasi na wewe.
 
Juzi juzi hapa eti kalienda Arusha kwa kuunguza kodi za wananchi kukagua nauli stendi akidhan katamfurahisha mama. Kamepigwa chini Sasa. Hakuna tena drama za kisoro.

Bwahaha hahaha hahaha.

Kammmmonnn
Mwenzio anakula milion 11 per monthly alafu unamcheka huku unapiga miayo?
[emoji23][emoji23]
 
Magufuli ameshapanda mbegu ya kuingia madarakani bila kuheshimu box la kura. Mlikuwa mnafurahia ule uhuni, sasa ngoja watu wapeane vyeo kwa kujuana maana hawategemei box la kura.
Kwani mama nae ni dhalimu?
 
Me Sina timu , ila naongozwa na sheria ya right and wrong. Huwezi Nikita nasifia ujinga kama sukuma gang. Mnaona mtu analipeleka taifa shimoni mnasifia tu, kwa kusema mitano Tena, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo sasa hivi kuna sheria ipi inayofuatwa mpaka unabaki unasifiasifia hovyo, ewe chawa wa mama?
 
Ikulu Zanzibar?? Hebu download hizo attachment mbili hapo juu, hasa ile ya pili! Hii imekaaje!
 
Nani mwenye mkeka wa Manaibu Katibu na makatibu wakuu?
 
Inategemea na mtazamo wa ntu na ntu... kwangu kaongea ukweli... unafikiri kwa nini tanganyika inakomaa na kuoshikitia zenji ilhali hamna daida kubwa inayonufaika nayo kiuchumi?
Ni kwa sababu Waingereza ndivyo walivyokubaliana Na Nyerere Wakati walipomweka madarakani baada ya kupinduliwa Na wanajeshi. Sharti Lao moja ni kuivamia Zanzibar Na kuidhibiti. Waingereza walishiriki katika uvamizi
 
Kuna watu wajinga sana eti mataga tumeumizwa na huu uteuzi kwani ungekuwa wewe ungemwacha mwanao?
Anyway alichokifanya cha maana ni kumtoa hiyo wizara ndalichako, maana dah na kingereza chake kama changu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…