Achana na mambo ya mtu anakotoka nazungumzia utendaji wa Lukuvi kwenye ardhi. Unamtoaje mtendaji aliyejitahidi kuondoa uozo kwenye ardhi
Sisi maustaadhi tunashangaa sana pengine yupo Kwa mkakati maalumu.
 
Wivu tu unao
 
Angalia watoto wa viongozi wakubwa au wastaafu wote wanapangiwa uwaziri na je mtoto wa mkulima lini atateuliwa??
Samia halipi fadhila bali anatimiza azma ya walioumizwa na JPM kwa kuwashughulikia na JPM hakuwa na mambo ya uongozi wa urithi.

Jamani jamani Samia hatufai sasa tufanyeje??? Mjadala uwe huo. Samia anafanya kazi ya kuharibu legacy ya JPM ambayo angeipata kwa mambo mengi iliyoyaanzisha ikiwamo hiyo miradi ya kimkakati ya SGR , RUFIJI DAM na madaraja ya vivutio.
Tunaona uchungu sana lakini tatizo hakuna upinzani credible kwani kuwapa nchi CDM ni bora ya hayo maCCM kwani CDM wakilipa fadhila ni huko nje kwa mabeberu wafadhili na waelekezaji wao, bora CCM walipane fadhila kwa waTZ mara dufu kuliko huyo Mabuttu Lissu wa Ubelgiji
 
This is how our country is, kamwe hatutakuja jikwamua toka dimbwi la umaskini.
Imagine kunavijana wengi sana wenye nguvu; lakini akina Mkuchika wanarudi uringoni. Watoto wa watawala wanaingizwa wawe na uwezo au wasiwe nao.
Tunahitaji kupata raisi kijana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…