Muda wowote baraza jipya....... stay tuned
#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amemteua @Nnauye_Nape kuwa Waziri wa Wizara ya Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amemteua @HusseinBashe kuwa Waziri wa Kilimo na @AnthonyMavunde kuwa Naibu Waziri wa Kilimo
#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amembadilisha @ummymwalimu kuwa Waziri wa Afya akitoka @OR_TAMISEMI
#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amemteua Mhandisi Hamad Masauni kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amemteua Angeline Mabula kuwa Waziri wa Ardhi na @ridhiwankikwete kuwa Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amemhamisha George Simbachawene kwenda Wizara ya Katiba na Sheria