Rais Samia atangaza mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu
Angalia watoto wa viongozi wakubwa au wastaafu wote wanapangiwa uwaziri na je mtoto wa mkulima lini atateuliwa??
Samia halipi fadhila bali anatimiza azma ya walioumizwa na JPM kwa kuwashughulikia na JPM hakuwa na mambo ya uongozi wa urithi,,,
Jamani jamani Samia hatufai sasa tufanyeje??? mjadala uwe huo
Samia anafanya kazi ya kuharibu legacy ya JPM ambayo angeipata kwa mambo mengi iliyoyaanzisha ikiwamo hiyo miradi ya kimkakati ya SGR , RUFIJI DAM na madaraja ya vivutio
Tunaona uchungu sana lkn tatizo hakuna upinzani credible kwani kuwapa nchi CDM ni bora ya hayo maCCM kwani CDM wakilipa fadhila ni huko nje kwa mabeberu wafadhili na waelekezaji wao,,,bora CCM walipane fadhila kwa waTZ mara dufu kuliko huyo Mabuttu Lissu wa Ubelgiji
😃😃😃😃😃😭😭😭😭 Huu uchungu sio wa Nchi hii.
 
Halafu tunaambiwa vijana ni soni/aibu kukosa ajira au kazi ya kufanya, ati kazi zipo nyingi za kufanya.

Waheshimiwa wanatushangaa kusubiri ajira za serikali. Inaumiza sana.

Ni heri ya Mzee Magufuli na si kwa kejeli hizi halafu "wao" wanaendelea kupeana vyeo.

Inafika muda maskini tunataka kukufuru, kuwalaumu wazazi wetu kwanini hawakutafuta KONEKISHENI [emoji24][emoji24]


Nimezikumbuka zile nyimbo Ni mzee wangu anazisikiliza

#1. CCM Ni ile ile

#2. CCM inawenyewe

#3. Anachukua anaweka waaaaaaaa.


Sawa, Mungu wetu akiyembinguni, tunaendelea kumlilia ili siku moja nasisi tuonekane kwenye "ORODHA"

JAPO TULIPENDA SANA WATUKUU ZETU WASIPATE SHIDA KAMA TUIPATAO LAKINI NDIO HIVYO USUKANI UMESHIKILIWA NA DEREVA KIASI KWAMBA NI NGUMU HATA KUNUSA.

INAUMA,

Yote haya yatakwisha tukiwa na katiba mpya.

Katiba mpya katiba mpya katiba mpya.
Kwani Mwendazake nae alifanya kipi cha maana? Si alijaza ndugu zake na Kambi yake,au mwenzetu uliteuliwa sasa imeliwa kichwa?
 
Samia kwa kumuacha Mwigulu fedha utakuja juta siku sio nyingi! Hili ni baraza la Msoga Ndio maana Pindi Chana amepewa uWaziri sasa naona Vasco Dagama anakwenda kumsimika NCHIMBI kama spika !! Niliwaambia juu ya RIDHWANI kuwa kwenye Baraza sasa utasikia ya spika .Watch this space!! Hii ndio Cabinet ya WAHUNI?
Kwangu hili baraza ni zuri maana enzi za JK biashara zilikuwa zinatoka,tunataka Hali irudi vile tuuze ..

Nyie wengine mnaolia Lia labda mlifaidi awamu ya 5,,sisi wengine hakuna cha maana tulipata.

Sasa Hawa wakidudisha that economy itakuwa nzuri kwa sisi tunaofanya biashara.
 
Hawa mawaziri waliopigwa chini mbona wote ni wa upande mmoja!? Kuna nini kinaendelea?…
 
1. Mikopo.
2. Tozo.
3. Bei za umeme.
4. Baraza la mawaziri.

Watu wanazidi tu kuamshwa.

Ngoja waamke.
Stroke hadi wewe hujaridhishwa?
Kweli dunia inakwenda kasi mnoo, yaani kadri muda unavyozidi kwenda wale makada wa CCM wa mitandaoni wanazidi kuasi chama chao na kuwa threat kwa CCM.
 
Tunaona uchungu sana lkn tatizo hakuna upinzani credible kwani kuwapa nchi CDM ni bora ya hayo maCCM kwani CDM wakilipa fadhila ni huko nje kwa mabeberu wafadhili na waelekezaji wao,,,bora CCM walipane fadhila kwa waTZ mara dufu kuliko huyo Mabuttu Lissu wa Ubelgiji
Bila wizi ccm hawawezi kushinda Bara wala zenji
 
Halafu tunaambiwa vijana ni soni/aibu kukosa ajira au kazi ya kufanya, ati kazi zipo nyingi za kufanya.

Waheshimiwa wanatushangaa kusubiri ajira za serikali. Inaumiza sana.

Ni heri ya Mzee Magufuli na si kwa kejeli hizi halafu "wao" wanaendelea kupeana vyeo.

Inafika muda maskini tunataka kukufuru, kuwalaumu wazazi wetu kwanini hawakutafuta KONEKISHENI [emoji24][emoji24]


Nimezikumbuka zile nyimbo Ni mzee wangu anazisikiliza

#1. CCM Ni ile ile

#2. CCM inawenyewe

#3. Anachukua anaweka waaaaaaaa.


Sawa, Mungu wetu akiyembinguni, tunaendelea kumlilia ili siku moja nasisi tuonekane kwenye "ORODHA"

JAPO TULIPENDA SANA WATUKUU ZETU WASIPATE SHIDA KAMA TUIPATAO LAKINI NDIO HIVYO USUKANI UMESHIKILIWA NA DEREVA KIASI KWAMBA NI NGUMU HATA KUNUSA.

INAUMA,

Yote haya yatakwisha tukiwa na katiba mpya.

Katiba mpya katiba mpya katiba mpya.
Akili zimewarudi.
 
Stroke hadi wewe hujaridhishwa?
Kweli dunia inakwenda kasi mnoo, yaani kadri muda unavyozidi kwenda wale makada wa CCM wa mitandaoni wanazidi kuasi chama chao na kuwa threat kwa CCM.
Sijaasi chama mkuu,

Tunakumbushana tu kwa lengo la kuboresha.
 
Bado tuna safari ndefu sana kama taifa, CCM baada ya kututawala kwa miaka 60 wanaonesha dhahiri jinsi akili zao zilivyofika mwisho wa kufikiri. Sasa wanashindwa hata jambo dogo tu la kutafuta sura mpya zenye weledi zije kufanya kazi ya wananchi licha ya wasomi wengi waliopo.

Ni aibu kwa taifa la watu zaidi ya milioni 60 kuongozwa na sura zile zile kila awamu, huu mchezo wa kurithishana madaraka unatengeneza taifa la watawala na watawaliwa. Nawashangaa zaidi wale jamaa zangu wanaoitwa ikulu wakaimbe mipasho wakati hata wao keki ya taifa haiwahusu, hawa ndio watumwa haswa.
Watoto wa wastaafu tu ndo wanapewa nafasi nyeti,si bara si visiwani.nchi hii itahitaji ukombozi kutoka utumwa wa kisultani.Wengine hawawezi kukalia hizo nafasi?
 
umesahau bei ya mbolea ya wapiga kura wake labda msoga atampia kura milioni 8 pekee yake
Samia ni kero ambayo haijawahi kutokea TZ raisi gani analilia mikopo ya mabeberu???
Samia siyo wa CCM kwani ndani ya CCM hawasujudii mabeberu
Samia anajisifia amekopa Trioni 1.3 kutoka kwa mabeberu ili kufanya maendeleo ndani ya Tz na wakati huo huo ametoa Trilioni 10 kutoka pesa za ndani kwenda kulipa madeni nje.

Hivi huyu mtu ana akili sawa sawa?
 
umesahau bei ya mbolea ya wapiga kura wake labda msoga atampia kura milioni 8 pekee yake
Samia ni kero ambayo haijawahi kutokea TZ raisi gani analilia mikopo ya mabeberu???
Samia siyo wa CCM kwani ndani ya CCM hawasujudii mabeberu
Wewe ni boya na hujui uchumi ndio maana unajiropokea..

Kodi kulipa huwezi,tozo kidogo makamasi kibao, wasipokopa waongeze Kodi utalipa wewe?

Kwanza unajua kuongeza Kodi kwa Nchi maskini kama hii utaua uchumi?

Mijitu mifala Sana NYie,uliza Wana Uchumi wakusaidie.Ndio maana China ,US kamwe hawajawahi kuacha Kukopa kwa sababu wanaelewa maana ya Mikopo sio kama wewe umesomea kiswahili unajifanya kujua Uchumi.

Kwanza utakuwa ni maskini wa kutupwa wewe,huko mtaani kwenu kama huwa hukopi basi hata hujielewi.
 
Bado tuna safari ndefu sana kama taifa, CCM baada ya kututawala kwa miaka 60 wanaonesha dhahiri jinsi akili zao zilivyofika mwisho wa kufikiri. Sasa wanashindwa hata jambo dogo tu la kutafuta sura mpya zenye weledi zije kufanya kazi ya wananchi licha ya wasomi wengi waliopo.

Ni aibu kwa taifa la watu zaidi ya milioni 60 kuongozwa na sura zile zile kila awamu, huu mchezo wa kurithishana madaraka unatengeneza taifa la watawala na watawaliwa. Nawashangaa zaidi wale jamaa zangu wanaoitwa ikulu wakaimbe mipasho wakati hata wao keki ya taifa haiwahusu, hawa ndio watumwa haswa.
muacheni mama afanye kazi yake jamani? kwa kauli yangu mwenye akili atakuwa amenielewa nini namaanisha
 
Back
Top Bottom