Rais Samia atatimiza na kusherehekea Umri wa miaka 64 Jumamosi ya wiki hii, huku Taifa likiwa na imani kubwa kwake

Rais Samia atatimiza na kusherehekea Umri wa miaka 64 Jumamosi ya wiki hii, huku Taifa likiwa na imani kubwa kwake

Mama Samia Ni mpango wa Mungu Mwenyewe.Aliinuliwa kwa mkono wa Mungu na hivyo hawezi kushushwa kwa mkono wa mwanadamu wa aina yoyote ile.
Hayupo wa kumzuia humu nchini,
2025 kama kawa kama dawa ikulu ndani bila mbambamba.....
 
Hayupo wa kumzuia humu nchini,
2025 kama kawa kama dawa ikulu ndani bila mbambamba.....
Ni Fomu moja tu ya Urais ndani ya CCM kwa ajili ya Rais Samia. Hii Ni kuwapa watanzania chaguo lao na kukata kiu kubwa walio nayo katika mioyo yao ya kuhitaji utumishi wa Rais Samia kwa awamu nyingine tena.
 
Bila Katiba mpya Raisi Samia hii itakuwa birthday yake ya mwisho kufurahia maana huko mbele sio kuzuri bila katiba!
Rais Samia Ndiye Rais wa Taifa letu mpaka 2030. Hata ije Tume ya uchaguzi kutoka marekani bado CCM itapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.
 
Wacha waendelee Kuzunguka Barabarani Kwa sababu ni wajinga
Waache waendelee kupiga porojo zao wakati hapo lengo la Mbowe ni kutaka kujibakiza tena madarakani ili kuendelea kutafuna Ruzuku na kila aina ya senti itakayo katisha mbele yake.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Jumamosi ya wiki hii ya Tarehe 27 januari 2024 Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania Mama Samia Suluhu Hasssan, mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nuru ya wanyonge na nyota ya matumaini atakuwa anasherehekea siku yake ya kuzaliwa kwa kutimiza umri wa miaka 64 tangia alipozaliwa.

Hii ni kwa kuwa Mama yetu Mpendwa alizaliwa Siku ya JUMATANO ya Tarehe 27 januari 1960,mwaka mmoja kabla ya kupata uhuru wa Tanganyika na takribani Miaka minne kabla ya mapinduzi matukufu ya Zanzibar pamoja na kuzaliwa kwa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hii ikiwa na maana kubwa sana kwetu watanzania,kwa kuwa tunaongozwa na kiongozi ambaye anafahamu kwa undani na kwa kina na kwa marefu na kwa ufahamu mpana na uelewa wa hali ya juu sana juu ya wapi nchi yetu imetoka,imepita wapi,imepitia mangapi ,ipo wapi na inapaswa ielekee wapi.

Hii ndio sababu Rais wetu mpendwa Mama Samia amejaa Upendo , uzalendo na uchungu mkubwa sana katika kifua chake juu ya Taifa letu. Ndio maana tunaona namna alivyo na maono makubwa sana juu ya wapi Taifa letu linapaswa kuelekea na kupita. Ndiyo maana hakuna kishindo kinachoweza mtikisa wala mtetemesha wala kumkwamisha katika kuongoza Taifa letu.

Rais Samia anatimiza miaka hiyo huku Taifa likiwa salama katika mikono yake,. wananchi wakiwa na imani kubwa kwake,amani, utulivu na usalama vikiwa vimetamalaki huku kukiwa na umoja, mshikamano,upendo na umoja wa kitaifa. Anatimiza miaka hiyo huku tukiwa tumepiga hatua na kupata maendeleo katika kila sekta,huku tukizungumza lugha moja pasipo ubaguzi wa aina yoyote ile.

Kwa hakika maisha ya Rais Samia hapa Duniani na hapa Nchini yamekuwa neema na baraka kwa watu wengi.maisha yake yameleta nuru, tabasamu na matumaini kwa mamilioni ya watanzania.kwa kuwa ni wakati huu wa uongozi wake ambapo watoto kutoka kaya maskini na za kipato cha chini wana uhakika wa asilimia zote kutimiza ndoto zao za kielimu, kwa kuwa Elimu ni bure mpaka kidato cha sita,huku mikopo kwa Elimu ya juu ikiwa inapatikana na kutolewa kwa wanafunzi wote wenye sifa na kustahili.

Ni wakati wake ambapo sasa kilimo kina thamani na ni shughuli inayolipa na siyo shughuli au kazi ya watu wa kipato cha chini pekee,ni wakati wake ambapo watu wanaona Secta ya afya ilivyofanyiwa mapinduzi makubwa sana.

Ambapo sasa tunatoa hadi madaktari bingwa na bobevu kwenda kutoa huduma za upasuaji wa moyo nchini zambia.Hii ni kutokana na uwekezaji mkubwa uliofanywa katika Secta hii ,Ambapo kwa sasa hospitali ya Apollo ya india ni kama ipo hapa hapa nchini.

Ni chini ya uongozi wake ambapo tumepata mafanikio kila sehemu alipooweka mikono yake,ni kicheko kila sehemu alipopeleka jicho lake,ni matumaini kila sehemu alipoweka neno,ni tabasamu kila eneo alipotoa maagizo,ni furaha kwa Taifa lote kila limtizamapo na ni tabasamu kwa Taifa lote katika nyuso za watanzania.

Kazi iendelee ,Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Njaa itakuuwa
 
Ndugu zangu Watanzania,

Jumamosi ya wiki hii ya Tarehe 27 januari 2024 Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania Mama Samia Suluhu Hasssan, mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nuru ya wanyonge na nyota ya matumaini atakuwa anasherehekea siku yake ya kuzaliwa kwa kutimiza umri wa miaka 64 tangia alipozaliwa.

Hii ni kwa kuwa Mama yetu Mpendwa alizaliwa Siku ya JUMATANO ya Tarehe 27 januari 1960,mwaka mmoja kabla ya kupata uhuru wa Tanganyika na takribani Miaka minne kabla ya mapinduzi matukufu ya Zanzibar pamoja na kuzaliwa kwa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hii ikiwa na maana kubwa sana kwetu watanzania,kwa kuwa tunaongozwa na kiongozi ambaye anafahamu kwa undani na kwa kina na kwa marefu na kwa ufahamu mpana na uelewa wa hali ya juu sana juu ya wapi nchi yetu imetoka,imepita wapi,imepitia mangapi ,ipo wapi na inapaswa ielekee wapi.

Hii ndio sababu Rais wetu mpendwa Mama Samia amejaa Upendo , uzalendo na uchungu mkubwa sana katika kifua chake juu ya Taifa letu. Ndio maana tunaona namna alivyo na maono makubwa sana juu ya wapi Taifa letu linapaswa kuelekea na kupita. Ndiyo maana hakuna kishindo kinachoweza mtikisa wala mtetemesha wala kumkwamisha katika kuongoza Taifa letu.

Rais Samia anatimiza miaka hiyo huku Taifa likiwa salama katika mikono yake,. wananchi wakiwa na imani kubwa kwake,amani, utulivu na usalama vikiwa vimetamalaki huku kukiwa na umoja, mshikamano,upendo na umoja wa kitaifa. Anatimiza miaka hiyo huku tukiwa tumepiga hatua na kupata maendeleo katika kila sekta,huku tukizungumza lugha moja pasipo ubaguzi wa aina yoyote ile.

Kwa hakika maisha ya Rais Samia hapa Duniani na hapa Nchini yamekuwa neema na baraka kwa watu wengi.maisha yake yameleta nuru, tabasamu na matumaini kwa mamilioni ya watanzania.kwa kuwa ni wakati huu wa uongozi wake ambapo watoto kutoka kaya maskini na za kipato cha chini wana uhakika wa asilimia zote kutimiza ndoto zao za kielimu, kwa kuwa Elimu ni bure mpaka kidato cha sita,huku mikopo kwa Elimu ya juu ikiwa inapatikana na kutolewa kwa wanafunzi wote wenye sifa na kustahili.

Ni wakati wake ambapo sasa kilimo kina thamani na ni shughuli inayolipa na siyo shughuli au kazi ya watu wa kipato cha chini pekee,ni wakati wake ambapo watu wanaona Secta ya afya ilivyofanyiwa mapinduzi makubwa sana.

Ambapo sasa tunatoa hadi madaktari bingwa na bobevu kwenda kutoa huduma za upasuaji wa moyo nchini zambia.Hii ni kutokana na uwekezaji mkubwa uliofanywa katika Secta hii ,Ambapo kwa sasa hospitali ya Apollo ya india ni kama ipo hapa hapa nchini.

Ni chini ya uongozi wake ambapo tumepata mafanikio kila sehemu alipooweka mikono yake,ni kicheko kila sehemu alipopeleka jicho lake,ni matumaini kila sehemu alipoweka neno,ni tabasamu kila eneo alipotoa maagizo,ni furaha kwa Taifa lote kila limtizamapo na ni tabasamu kwa Taifa lote katika nyuso za watanzania.

Kazi iendelee ,Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Ni majinga na mashetani kama wewe ndiyo yenye Imani. Werevu na wazalendo wa kweli tunaamini kwasasa nchi haina viongozi Bali ni mapicha tu na matapeli. Kutwa nzima yanazurura kwa Kodi zetu. Hizo ndege yanapanda ni Kodi za wanyonge huku yakigawa umeme kwa wananchi. Yanaamini kujenga nchi ni kutembeza bakuli. Yaani natamani hata yafie angani kabisa. Wewe pamoja na matapeli wenzako mungu awachukue haraka, shetani wewe usiyehurumia wananchi wenye Shida waliopo gizani sasa hivi. Kufa matapeli haya
 
Ni majinga na mashetani kama wewe ndiyo yenye Imani. Werevu na wazalendo wa kweli tunaamini kwasasa nchi haina viongozi Bali ni mapicha tu na matapeli. Kutwa nzima yanazurura kwa Kodi zetu. Hizo ndege yanapanda ni Kodi za wanyonge huku yakigawa umeme kwa wananchi. Yanaamini kujenga nchi ni kutembeza bakuli. Yaani natamani hata yafie angani kabisa. Wewe pamoja na matapeli wenzako mungu awachukue haraka, shetani wewe usiyehurumia wananchi wenye Shida waliopo gizani sasa hivi. Kufa matapeli haya
Wewe nilishasema ni kichaa unayehitajika kuwa pale Mirembe ukiwa na kamba mikononi na miguuni na kuanza matibabu kwa haraka sana. Wewe ni laana katika Taifa letu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Jumamosi ya wiki hii ya Tarehe 27 januari 2024 Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania Mama Samia Suluhu Hasssan, mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nuru ya wanyonge na nyota ya matumaini atakuwa anasherehekea siku yake ya kuzaliwa kwa kutimiza umri wa miaka 64 tangia alipozaliwa.

Hii ni kwa kuwa Mama yetu Mpendwa alizaliwa Siku ya JUMATANO ya Tarehe 27 januari 1960,mwaka mmoja kabla ya kupata uhuru wa Tanganyika na takribani Miaka minne kabla ya mapinduzi matukufu ya Zanzibar pamoja na kuzaliwa kwa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hii ikiwa na maana kubwa sana kwetu watanzania,kwa kuwa tunaongozwa na kiongozi ambaye anafahamu kwa undani na kwa kina na kwa marefu na kwa ufahamu mpana na uelewa wa hali ya juu sana juu ya wapi nchi yetu imetoka,imepita wapi,imepitia mangapi ,ipo wapi na inapaswa ielekee wapi.

Hii ndio sababu Rais wetu mpendwa Mama Samia amejaa Upendo , uzalendo na uchungu mkubwa sana katika kifua chake juu ya Taifa letu. Ndio maana tunaona namna alivyo na maono makubwa sana juu ya wapi Taifa letu linapaswa kuelekea na kupita. Ndiyo maana hakuna kishindo kinachoweza mtikisa wala mtetemesha wala kumkwamisha katika kuongoza Taifa letu.

Rais Samia anatimiza miaka hiyo huku Taifa likiwa salama katika mikono yake,. wananchi wakiwa na imani kubwa kwake,amani, utulivu na usalama vikiwa vimetamalaki huku kukiwa na umoja, mshikamano,upendo na umoja wa kitaifa. Anatimiza miaka hiyo huku tukiwa tumepiga hatua na kupata maendeleo katika kila sekta,huku tukizungumza lugha moja pasipo ubaguzi wa aina yoyote ile.

Kwa hakika maisha ya Rais Samia hapa Duniani na hapa Nchini yamekuwa neema na baraka kwa watu wengi.maisha yake yameleta nuru, tabasamu na matumaini kwa mamilioni ya watanzania.kwa kuwa ni wakati huu wa uongozi wake ambapo watoto kutoka kaya maskini na za kipato cha chini wana uhakika wa asilimia zote kutimiza ndoto zao za kielimu, kwa kuwa Elimu ni bure mpaka kidato cha sita,huku mikopo kwa Elimu ya juu ikiwa inapatikana na kutolewa kwa wanafunzi wote wenye sifa na kustahili.

Ni wakati wake ambapo sasa kilimo kina thamani na ni shughuli inayolipa na siyo shughuli au kazi ya watu wa kipato cha chini pekee,ni wakati wake ambapo watu wanaona Secta ya afya ilivyofanyiwa mapinduzi makubwa sana.

Ambapo sasa tunatoa hadi madaktari bingwa na bobevu kwenda kutoa huduma za upasuaji wa moyo nchini zambia.Hii ni kutokana na uwekezaji mkubwa uliofanywa katika Secta hii ,Ambapo kwa sasa hospitali ya Apollo ya india ni kama ipo hapa hapa nchini.

Ni chini ya uongozi wake ambapo tumepata mafanikio kila sehemu alipooweka mikono yake,ni kicheko kila sehemu alipopeleka jicho lake,ni matumaini kila sehemu alipoweka neno,ni tabasamu kila eneo alipotoa maagizo,ni furaha kwa Taifa lote kila limtizamapo na ni tabasamu kwa Taifa lote katika nyuso za watanzania.

Kazi iendelee ,Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Hivi huyu chawa atapewa uteuzi lini?
 
Kama unataka basi hama nchi mapema sana ukaishi hata huko Somalia .maana mwakani Rais Samia anaapishwa kuongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Sipo huko nilitoka miaka zaidi ya 20 iliyopita ila haibadilishi asili yangu na kusikitika kuona nchi inazidi kudidimia chini ya majambazi ya CCM.

Narudia tena Samia kawa rais inadvertently.

Hizo habari za kusema Samia ni mpango wa mungu labda huyo mungu ni wa unguja.
 
Sipo huko nilitoka miaka zaidi ya 20 iliyopita ila haibadilishi asili yangu na kusikitika kuona nchi inazidi kudidimia chini ya majambazi ya CCM.

Narudia tena Samia kawa rais inadvertently.

Hizo habari za kusema Samia ni mpango wa mungu labda huyo mungu ni wa unguja.
Rais Samia Ndiye chaguo letu watanzania tuishio hapa Tanzania.kwa hiyo wewe unayeishi uhamishoni endelea na mambo yako huko.
 
Back
Top Bottom