Pre GE2025 Rais Samia atenga siku moja kila mwezi kusikiliza kero za watanzania

Pre GE2025 Rais Samia atenga siku moja kila mwezi kusikiliza kero za watanzania

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
"Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza kutenga siku moja kwa kila mwezi ili kusikiliza na kuzitafutia ufumbuzi kero za mwananchi mmoja mmoja"

Kwa hiyo siku nyingine zote zilizobaki za Mwezi atakua anafanya shughuli gani!?
Raia feki kazi yake kuu ni ...Kula dubai na kuja kunya tanzania hiyo ni kazi kuu anayo fanya kila siku na kuimudu vizuri
 
Back
Top Bottom