LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 9,006
- 14,536
Hizo nyingine ni trip za nje.Siku moja kwa mwezi na hizo nyingine tunamlipa kwa kazi gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo nyingine ni trip za nje.Siku moja kwa mwezi na hizo nyingine tunamlipa kwa kazi gani
Unataka kusema kwa sasa hana kazi anasubiri atenge hiyo siku moja ndo aanze kazi?"Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza kutenga siku moja kwa kila mwezi ili kusikiliza na kuzitafutia ufumbuzi kero za mwananchi mmoja mmoja"
Kwa hiyo siku nyingine zote zilizobaki za Mwezi atakua anafanya shughuli gani!?
Chawa watakuwa wanapangwa kuuliza maswali, pia atakuwa anasikiliza akiwa wapi?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza kutenga siku moja kwa kila mwezi ili kusikiliza na kuzitafutia ufumbuzi kero za mwananchi mmoja mmoja
"Amefanya hivyo kwa sababu kuu tatu moja ni kuwafanya viongozi wengine wawe na tabia ya kusikiliza kero za Wananchi, sababu ya pili ni kumuenzi Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi na jambo la tatu ni kutoa nafasi ya kutumia cheo na nyadhifa za uongozi kuwasaidia Wananchi"
View attachment 2925211
Paul Makonda, Katibu wa Itikadi, Uenezi na mafunzo wa CCM
UWT na UVCCM ndiyo watakuwa wauliza maswali na wasifiajiUchaguzi umekaribia jonijo
Tunataka apunguze hizo mafao ya wenyewe kwa wenyewe kwanza.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza kutenga siku moja kwa kila mwezi ili kusikiliza na kuzitafutia ufumbuzi kero za mwananchi mmoja mmoja
"Amefanya hivyo kwa sababu kuu tatu moja ni kuwafanya viongozi wengine wawe na tabia ya kusikiliza kero za Wananchi, sababu ya pili ni kumuenzi Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi na jambo la tatu ni kutoa nafasi ya kutumia cheo na nyadhifa za uongozi kuwasaidia Wananchi"
View attachment 2925211
Paul Makonda, Katibu wa Itikadi, Uenezi na mafunzo wa CCM
Hilo la kwenda Dar Dod na Zanz. Ni utapeli mtupu.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza kutenga siku moja kwa kila mwezi ili kusikiliza na kuzitafutia ufumbuzi kero za mwananchi mmoja mmoja
"Amefanya hivyo kwa sababu kuu tatu moja ni kuwafanya viongozi wengine wawe na tabia ya kusikiliza kero za Wananchi, sababu ya pili ni kumuenzi Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi na jambo la tatu ni kutoa nafasi ya kutumia cheo na nyadhifa za uongozi kuwasaidia Wananchi"
View attachment 2925211
Paul Makonda, Katibu wa Itikadi, Uenezi na mafunzo wa CCM
Labda tungejua kwanza , Kazi za Rais ni zipiUnataka kusema kwa sasa hana kazi anasubiri atenge hiyo siku moja ndo aanze kazi?
Mwisho alichoka kuwasikiliza kwani aligundua MATATIZO ni ya Watendaji wa Serikali yakeSafi
Mzee Mwinyi alitenga kila Ijumaa kama sijasahau Yeye binafsi kusikiliza shida za wananchi
Rubbish, we need strong institutions not this rubbish1Safi
Mzee Mwinyi alitenga kila Ijumaa kama sijasahau Yeye binafsi kusikiliza shida za wananchi