Pre GE2025 Rais Samia atenga siku moja kila mwezi kusikiliza kero za watanzania

Pre GE2025 Rais Samia atenga siku moja kila mwezi kusikiliza kero za watanzania

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hilo la kuwasilisha kero siyo geni kwenye serikali hii ya sisiyemu wengi tunafahamu mfumo unaoitwa emrejesho au Tamisemi ya wananchi watu tumewasilisha malalamiko huko several times hakuna utatuzi uliopatikana zaidi ya kuambiwa wasiliana na ofisi za mamlaka za serikali za mitaa ambazo ni za wakurugenzi wa halmashauri
 
Watanganyika rahisi kuwa wadanganyika!!! Hivi yeye hajui kero zawatu? Hata wasaidizi hawamfikishii??
Au kaona kijana wake manenepa anapata umaarufu sana kwa kusikiliza kero zawatu majukwaani nayeye ameona aondoke na Kijiji Kwa style hiyo?
Propaganda uchwala
 
Yale yalikuwa matembezi tu,

Maandamano yenyewe yanakuja,

Yaani CCM Leo ndio wa kutuhakikishia uchaguzi huru na HAKI?

Tusubiri.
 
Ameshachelewa.
2025 kula ziibwe lasivyo uraisi atausikia
Nakupenda TANZANIA
 
Jenga institutions kumaliza matatizo ya mamilioni ya watu, tumechoka na usanii
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza kutenga siku moja kwa kila mwezi ili kusikiliza na kuzitafutia ufumbuzi kero za mwananchi mmoja mmoja

"Amefanya hivyo kwa sababu kuu tatu moja ni kuwafanya viongozi wengine wawe na tabia ya kusikiliza kero za Wananchi, sababu ya pili ni kumuenzi Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi na jambo la tatu ni kutoa nafasi ya kutumia cheo na nyadhifa za uongozi kuwasaidia Wananchi"

View attachment 2925211
Paul Makonda, Katibu wa Itikadi, Uenezi na mafunzo wa CCM​
Hii system ni kama vile rais amekubali kuwa mifumo ya nchi haifanyi kazi, amekubali kuwa wasaidizi wake hawafanyi kazi.

Pia, ni bad t8me management. Ni kupoteza muda.

Yani rais badala ya kufanya mambo presidential, kudeal na national issues, ataenda Lumumba kusikiliza malalamiko ya bibi kizee aliyenyang'anywa kiwanja, ataenda kusikikiza malalamiko ya familia inayogombania mirathi, kama vike hatuna mahakama.

This is what used to happen during Mwinyi's time.

It's good for the look, the propaganda, the photo opportunity to shiw a "people's president".

But it is a colossal waste of time.
 
Ni jambo zuri sana.
Viongozi lazima wajishughulishe kutatua kero za wananchi direct
 
Anataka kuongeza tena kero binafsi za watu wakati zakitaifa zenyewe hajazitatua.Hii ni maajabu.
 
Another comedy.

Hivi ni kweli Ccm na serikali yooote hawajui kero za wananchi?? Kwa miaka 63 ya utawala wake?

Ukisikia kwamba Ccm ina tuona wajinga ni statment kama hizi.
Brother aren't you have any problems? We acha kama huna shida subir uone wenzako wanavyosaidiwa, watu wana shida saa nyingine una dovlcment zote
 
Wananchi wenye shida ni wengi sana wala hawezi kumudu kuwafikia wote.
Muhimu ni kuimarisha mifumo ya haki katika kila eneo kuanzia ngazi ya kata. Mifumo ifufuliwe ni aibu Leo mpaka Waziri mkuu alfike kwenye wilaya kukamata mafisaji na wezi!!
Watu wanamsubiri Makonda ndiyo afike kutatua shida zao!! naye pia hawezi kuwafikia wote.
Tatizo limeanzia kwenye Serikali yenyewe na limeenea mpaka kwenye mihimili yote.
 
Watanzania wooote wana KERO!
Atamaliza kuwasikiliza lini?
Naomba Watanzania wajitokeze kwa wiiingi wooote ili dunia ione jinsi ccm ilivyoshindwa kuwahudumia wananchi, hadi waende kumpigia magoti mwenyekiti wao.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza kutenga siku moja kwa kila mwezi ili kusikiliza na kuzitafutia ufumbuzi kero za mwananchi mmoja mmoja

"Amefanya hivyo kwa sababu kuu tatu moja ni kuwafanya viongozi wengine wawe na tabia ya kusikiliza kero za Wananchi, sababu ya pili ni kumuenzi Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi na jambo la tatu ni kutoa nafasi ya kutumia cheo na nyadhifa za uongozi kuwasaidia Wananchi"

View attachment 2925211
Paul Makonda, Katibu wa Itikadi, Uenezi na mafunzo wa CCM​
Kapotoshwa nae kapotea, kama Rais ni wananchi wangapi wenye kero atakaowafikia kwa kutenga siku moja ktk mwezi? Ni Rais wa wapi hasiyejua kero za wananchi wake? Ni Samia huyuhuyu kuna kipindi alikataa kusikiliza kero za mtu mmoja mmoja na kuwambia wananchi wazipeleke kwa wasaidizi wake, leo kapiga u-turn
 
Brother aren't you have any problems? We acha kama huna shida subir uone wenzako wanavyosaidiwa, watu wana shida saa nyingine una dovlcment zote
Mr. any problems, ni bora unyamaze tu. Rais ni kiongozi wa nchi, shida za kila mwananchi na nchi nzima ni za kwake. Kama siyo usanii atawezaje kuzitatua kwa kusikiliza mwannanchi mmojammoja?
 
Kabisa na nahisi kuna mtu anamfosi kufanya hivyo ndio maana amekuja kwa style ya kutu enjoy, we fikiria kwa kero zilivyokuwa nyingi atakuwa anasikiliza mmoja mmoja, serious?
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza kutenga siku moja kwa kila mwezi ili kusikiliza na kuzitafutia ufumbuzi kero za mwananchi mmoja mmoja

"Amefanya hivyo kwa sababu kuu tatu moja ni kuwafanya viongozi wengine wawe na tabia ya kusikiliza kero za Wananchi, sababu ya pili ni kumuenzi Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi na jambo la tatu ni kutoa nafasi ya kutumia cheo na nyadhifa za uongozi kuwasaidia Wananchi"

View attachment 2925211
Paul Makonda, Katibu wa Itikadi, Uenezi na mafunzo wa CCM​
Anajidanganya ....hakuna wa kumchagua 2025 isipokuwa mafisadi na raia feki wenzake na machawa wachache huo ndiyo ukweli .. yeye ategemee tu kutangazwa na tume kuwa rais ila siyo kupata ushindi wa kura ..... Samia na kundi la raia feki wenzake wana hofu sana juu ya kifo cha jpm ndiyo maana Samia ana lazimisha kubak8 ikulu kwa gharama yoyote ili ku buy time.
 
Back
Top Bottom