"Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza kutenga siku moja kwa kila mwezi ili kusikiliza na kuzitafutia ufumbuzi kero za mwananchi mmoja mmoja"
Kwa hiyo siku nyingine zote zilizobaki za Mwezi atakua anafanya shughuli gani!?