Rais Samia atengua uteuzi wa Albert Chalamila RC Mwanza, Dkt. Batilda ateuliwa kuwa RC Tabora

Hamna lolote alikua anamtafutia nafasi batilda buryani tu. 2025 lazima kufanya uamuzi sio hizi show kufurahisha maliberali.
 
Hii inaitwa Chalamila vs bajeti. Je nani ataibuka mshindi?

Kama ilivyokuwa kwa Ndugai vs Sabaya. Na mpaka muda huu Sabaya kaibuka kidedea kwani kafanikiwa kuzima kasi ya kutaka kuwatoa kina Halima Mdee bungeni.
 
Aisee yaan kwenye hili Ametolewa Chalamila tuu peke yake wengine wote wamehamishwa. Sasa na yeye aendelee kula bata na Makonda maana si wote wapo Mwanza au atarudi iringa kupingwa na Baridi.
 
Mama kajua kucheza na akili zetu kote kwa moto. Huku Budget, Huku Chalamila, kule kuna Petition BET
 
Ukiona hivyo ujue na anakesi za kujibu kama Makonda so lazima ajadiliwe Wanambeya watatuambia maana sisi wanaMwanza alikuwa anatuambia Tunywe Pombe.
 
Hamna lolote alikua anamtafutia nafasi batilda buryani tu. 2025 lazima kufanya uamuzi sio hizi show kufurahisha maliberali.
HAPANA KUBWA,sio nyinyi mlio kuwa mnalialia humu mitandaoni eti Chalamila hafai, ukipekua humu JF kuna nyuzi kibao zinapinga uteuzi wa chalamila! au mlikuwa sio ninyi? Haya katekeleza matamanio yenu mmebadiri gia imekuwa anamtafutia mtu nafasi kweli? kweli JF imeingiliwa.
 
Makeke yakizidi lazima uwaribu, Chalam8la level yake sionkuongoza mkoa
 
Tuanzie hapa,
Kiwanda cha kuchenjuwa nani mmiliki.
Vinginevyo ilikuwa PETROL imemponza
RAHA YA MAMA ANAKULA KICHWA HUKU ANAKULISHA MIKATE NA BURUBENDI.
Hafoki,Bali anakupa msamiati wa kuchekesho.
 
Duuh, huyu siyo kiongozi...

Kiongozi kazi yake ni ku - PREVENT na ku - CONTROL uhalifu na wanaokamatwa ni kuacha sheria ivhukue mkondo wake...

RC unapohamasisha watu wajichukulie sheria mkononi kuua kila wanayedhani ni mhalifu, ni KOSA KUBWA, umeshindwa kazi ya uongozi wewe..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…