Alikuwa boss wa magereza nchi nzima.Ukuu kamkoa kamoja. Kashushwa.Mmedangwa na nani amekua demoted ,kipesa cjui ila kicheo amepanda ,hapo sasa hivi anapigiwa saluti hadi na CDF .yeye ni sehemu ya rais wa nchi now
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Bado TIss na uhamiaji sasa
Hata km. CDF anampigia Salute hata DC ila hauwezi linganisha hizo titlesMmedangwa na nani amekua demoted ,kipesa cjui ila kicheo amepanda ,hapo sasa hivi anapigiwa saluti hadi na CDF .yeye ni sehemu ya rais wa nchi now
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Nami namsubiriTunahifadhi hii Risiti .
Kama namzungumzia Mzee? acha kukurupukaHuyo aliyeteuliwa alikuwa mpya, kaondolewa kabla hajaanza kazi. Au hujui kusoma?
Sidhani kama kamishina ameboronga bali ni mama anataka kuweka mstari sawa, ilikuwa ni kosa na ubabe wa kijinga kuwapelekea magereza kiongozi kutoka JWBalaa hili. Huyu kamishina wa magereza kapata demotion ta kufa mtu. Tuliambiwa ni mchapa kazi .Imekuwaje tena ?Chegeni nae nani kamchongea ?Dunia hii ving'ast wamejaa tele. Hapo baba wa watu kishashona suti. ***** 😂
Umeongea kama mh. Mpina.Chegeni huyu ninayemjua kaomba mwenyewe kutenguliwa, pesa anazo si za nawazo ..Isamilo Hotel ya jijini Mwanza, Majumba ya kutosha Dar, Dodoma, Mwanza nk...watoto wake wote wapo kwenye Financial institutions kubwa Dubai, Austraria na USA, mke wake.....niishie hapa nisije jichoresha Bure nyuma ya I'd feki! Kifupi jamaa pesa ipo, kwenye siasa Kawa mbuge wa Busega kuanzia kwa Mkapa hadi awamu ya tano alipoondelewa na yule dk wa mifugo....Kisha kuingia tena na baadae Jiwe akamuweka pembeni pamoja na kuongoza kura za maoni!
Kichwani jamaa yupo vizuri, exposure ya nchi za wenzetu pia SI haba...huyu kumpa ukuu wa Mkoa ni sawa na kumuweka kundi la akina Sendeka wachumia tumbo!
Tengua ya Leo ngoja tusubiri ufafanuzi vinginevyo rais wetu kazungukwa na mafisi kundi la watu wa ovyo kuwahi kutokea!
Hao hawahitajikiSuleiman Mzee mbona alikuwa yuko vizuri kwenye jeshi la Magareza?
Wasalimieni Busega.Tulikuwa tunashusha mizigo ya chegeni hapa musoma ghafla tunaabiwa turudi nayo tulipotoka
Unategemea nini nchi inaongozwa na CS na sii rais?Aisee!!
Vetting huwa haipo au tunarudi kule kule kwa Mzee wa kitovuni??
Anataka kuweka wa magereza ?Sidhani kama kamishina ameboronga bali ni mama anataka kuweka mstari sawa, ilikuwa ni kosa na ubabe wa kijinga kuwapelekea magereza kiongozi kutoka JW
Boss wa awali amestaafu juzi na MabeyoPCCB tayari?