masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Protokali hairuhusu.Ni kawaida maana alimtoa mkuu wa JKT Major General Charles Mbuge na kumteua mkuu wa mkoa wa Kagera.
Kwa hiyo ni kawaida
Ni umasikini tu wa hso Majenerali, lakini vyeo vyao ni vikubwa mno kwa Jenerali kuongoza mkoa, kama ambavyo luteni Makamba aliongoza Kigoma.