Rais Samia atengua uteuzi wa Pauline Gekul saa chache baada ya kutuhumiwa kufanya unyanyasaji kwa mtoto

Chaaaap kwa haraka sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mmoja wa mambo ya ulaya nae alimtesa house boy kisa kapoteza mbwa wale walamba uchi, akawapa kazi wajeda wampe kisago, kuna kiklipu ila acha yapite tuh,

Uganda sijui bongo
 
Na Polisi walioshiriki kuficha uovu tunasuniri tangazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…