Rais Samia atengua uteuzi wa Pauline Gekul saa chache baada ya kutuhumiwa kufanya unyanyasaji kwa mtoto

Mama una kura yangu
 
Hakuwa chadema huyu? Ni swali tu
 
Naungana na wew ila kusema hata kwa tuhuma tu mtu hafai kuwa mbunge huo sasa utakuwa wendawazimu, leo watu wakizusha tuhuma juu ya Mbowe nae itabidi ajiuzulu bila kuthibitisha?
 
Huyu
Huyu apandishwe kizimbani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…