Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,042
- 8,227
Uteuliwe wewe Sasa π€£πππTeuzi za MAMA kwa WAMAMA zimeonesha kabisa ni jinsi gani hao Wamama wamemuangusha huyu MAMA.
Teuzi ya pili hii inatenguliwa kutokana na watu hao kutokuwa na HESHIMA.
Laana ya usaliti inawatafuna. Na bado ubunge. Hii ndio awamu yao ya mwisho. Wajiandae kupisha wengine.Duh
Hawa Manaibu Waziri kutoka Chadema Wana vituko sana π
Alianza Waitara sasa Gekui
Bado Watatu
Hahahaa daahSafi, Hapa namkubali Samia, Ingekuwa kipindi cha yule egomaniac psychopath angempndisha cheo na kumfanya waziri kamili, huku akijivunia kuwa SIPANGIWI
Ndio mambo yenu huko ccmKukalia vyupa tena??
Ww hutak teuzi..?Uteuliwe wewe Sasa π€£πππ
Katoka nayo huko Chadema .Ndio mambo yenu huko ccm
Mama una kura yanguRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Naibu Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria, Mhe. Pauline Philipo Gekul.
View attachment 2824966
Saa chache zilizopita, Pauline Gekul ambaye ni Mbunge wa Babati Mjini alituhumiwa kumfanyia unyanyasaji mfanyakazi wake ambapo inadaiwa akishirikiana na watu wengine walimdhuru mwili na kumuingiza chupa sehemu ya haja kubwa.
Zaidi soma,
Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili Mtoto
Pauline Gekul ajibu tuhuma za kumdhuru na kumdhalilisha kijana
Wakati makundi mbalimbali yakimjia juu Naibu Waziri wa Sheria na Katiba, Pauline Gekul kwa madai ya udhalilishaji, mwanasiasa huyo kupitia katibu wa ofisi yake, ametoa ufafanuzi akigusia madai ya kuwapo imani za kishirikiana na ushindani wa kibiashara. Ufafanuzi huo awali ulitolewa na Hussein...www.jamiiforums.com
Kumtengua tu inatosha? Hakuna hatua za kisheria?Si ndo anadaiwa kumpiga mtu na kumwambia akalie chupa si ndo huyu
Hakuwa chadema huyu? Ni swali tuMaoni ya juzi ya mh. Jakaya Kikwete na leo hii ya Jenerali Ulimwengu n.k kuwa rais akubali maoni ya wananchi kwa vile ni ngumu sana rais kufahamu kila kinachotendeka katika nchi hii kubwa yenye eneo la kilometa za mraba zaidi ya 900,000.
Picha kutoka maktaba :
Naibu waziri wa Katiba na Sheria, Mh. Pauline Gekul akichangia makadiroo ya mapato na matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria mwaka 2023/2024 Jumanne Aprili 25,2023.
View: https://m.youtube.com/watch?v=q4T8rdTdGIkMbunge - Pauline Philipo Gekul
Naibu Waziri - Wizara ya Katiba na Sheria
Eneo bunge Jimbo - Babati Mjini
Chama cha siasa : CCM
Elimu - Masters UDOM 2014
Elimu - Degree ya kwanza UDSM 2006
Naungana na wew ila kusema hata kwa tuhuma tu mtu hafai kuwa mbunge huo sasa utakuwa wendawazimu, leo watu wakizusha tuhuma juu ya Mbowe nae itabidi ajiuzulu bila kuthibitisha?Kwamba huyo Pauline aliamuru kijana awekewe chupa matakoni? Kwamba huyo Gekul nae ni muumini wa ufiraji na ukatili, yaani katika adhabu zote akaona hiyo ndio inafaa kijana kupewa? Iwe tuhuma au kweli, hatakiwi kuwa waziri na hapa ndipo katiba inatakiwa kuangaliwa tena, hafai hata huo ubunge. Nasema iwe tuhuma au iwe imethibitika.
Wataje nao watokeDuh
Hawa Manaibu Waziri kutoka Chadema Wana vituko sana π
Alianza Waitara sasa Gekui
Bado Watatu
Huyu apandishwe kizimbaniRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Naibu Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria, Mhe. Pauline Philipo Gekul.
View attachment 2824966
Saa chache zilizopita, Pauline Gekul ambaye ni Mbunge wa Babati Mjini alituhumiwa kumfanyia unyanyasaji mfanyakazi wake ambapo inadaiwa akishirikiana na watu wengine walimdhuru mwili na kumuingiza chupa sehemu ya haja kubwa.
Zaidi soma,
Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili Mtoto
Pauline Gekul ajibu tuhuma za kumdhuru na kumdhalilisha kijana
Wakati makundi mbalimbali yakimjia juu Naibu Waziri wa Sheria na Katiba, Pauline Gekul kwa madai ya udhalilishaji, mwanasiasa huyo kupitia katibu wa ofisi yake, ametoa ufafanuzi akigusia madai ya kuwapo imani za kishirikiana na ushindani wa kibiashara. Ufafanuzi huo awali ulitolewa na Hussein...www.jamiiforums.com
Amejifunzia huko......ukatiri walifundishwa na yule aliyewateua.Katoka nayo huko Chadema .