Rais Samia atengua Uteuzi wa Wakuu wa Wilaya za Temeke na Kilindi

Acha nyege za kijinga!
 
Wa
Wakuu wa Wilaya Tz karne hii wa kazi gani??
 
Wewd ndio ni unamawazo hayo lakini kabla ya mtu kuteuliwa huwa anajulishwa kwanza na kuna makaratasi anasaini kukubali uteuzi, vivo hivyo kwa anaetenguliwa taarifa anapewa hata kabla haijawa public.
Unamaanisha wale viongozi wa CWT walioteuliwa na kukataa uteuzi walifahamishwa wakasaini ila baadae wakabadili gia angani? Acha kupotosha kwa makusudi.
 
Katiba mbovu sn hii, teua tengua, sijui hamisha zote ni gharama kubwa sn, kumteua DC siyo chini ya milioni 30 ni zaidi ya darasa asee
 
Hapo ndio nazani kabobea kwa kutengua n kuteua. Yani mpk atakua anaota
 
Jasusi kubwa Matinyi hatimae anaanza kurudishwa taratibu kwenye system [emoji23][emoji23] Magu alitaka kumuua bure
 
Samia ana dharau jamani. Kaji kutoka kamishina wa Taasisi ya kuzuia madawa ya kulevya hadi kuwa mkuu wa wilaya. Hatareee. Angempa walau ukuu wa mkoa au ukurugenzi wa mkoa basi.
Hiyo yote ni kujikosha baada ya kumuondoa kwenye madawa ya kulevya na aliyemuweka kwa mbwembwe zote kufail mapema tu.Ningekuwa mimi Kaji ningeshukuru kisha nikakataa huo uteuzi kama Ali Maswanya alivyokataa uteuzi kipindi cha JPM.
 
Na wabunge wameongezewa mshahara mfahamu hilo kwa mwezi,sasa watavuta MILIONI 18 kwa mwezi.WATANZANIA MUPO PALE.KUJIPENDEKEZA OYEEEEEEE.
 
Mwacheni Rais afanye kazi yake. Anapitia taarifa nyingi. Hao wawili wanaweza kuwa na matatizo yako.
Endelea President.
Maraisi hukosea pia. Hao walioondolewa Leo usishangae baada ya mwezi wakateuliwa kwingine
 
Huu uongo. Kaji alitenguliwa toka mwaka juzi, akarudi kwenye mambo yake ya ukitengo huko idarani. Sasa hivi ndio kateuliwa kuwa DC.

Ukiwa kitengo unapaswa kufanya kazi yoyote utayopangiwa. Nafasi yako idarani ipo palepale
 
Hajawahi kwenda ikulu kama katibu, uteuzi ulitenguliwa kabla ya kuapishwa
Kisa cha uteuzi kutenguliwa ni nini mkuu?
ndoto2020 anakwambia mama kamuweka pale kwasababu anamuhitaji wakati mi nakumbuka jamaa aligomea ule uteuzi na khomba kustaafishwa mama akamtengua. Na Sasa sijui yuko wapi
 
Hayo ya ndani. Inasemekana(Sina uhakika) alikataa huo uteuzi wa kuwa katibu ikulu
Umeniwahi wakati naedit my previous post. Ni kweli aligomea ule uteuzi, it was disclosed by some of them 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…