Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya wapya 37, awahamisha 48, waliobaki kwenye vituo vyao ni 55

Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya wapya 37, awahamisha 48, waliobaki kwenye vituo vyao ni 55

huyu busweru mkuu wa wilaya tanganyika anatakiwa ahamishwe maana ni msukuma na katavi wasukuma wanavamia sana maeneo hivyo kupelekea migogoro kati ya wasukuma na makabila tofaut hivyo anashindwa kuamua kwa usahihi
 
Huyu Mkuu mpy wa Wilaya ya Arumeru Emmanuela Mtatifikolo ni mtoto wa tajiri wa zamani wa mabus ya Igesa Line ofisi zao zipo Sinza Makaburini
 
Mungu awasaidie kwenye utendaji wao!
Wale walioachwa vumilieni kidogo japo naona mama siyo mambo yake kutumbua
 
Nafasi za kuteuliwa siyo za kutegemea kuendeshea maisha yako. Ndiyo maana kwa baadhi ya nchi, kapuku hapewi cheo cha kisiasa.

Cheo cha kisiasa, ni cheo cha heshima, siyo cha kufutia umaskini.
Absolutely Mkuu!

Ingawa kibongo Bongo wakiweka hiko kigezo Kuna watu watalalamika na kuandamana Juu kupinga kwamba wametengwa.

Ila ni jambo lenye Tija tukisema tuige wanachofanya huko Dunia ya Kwanza
 
Kidato cha nne.

Jina la kusomea kidato cha nne ni Dinnah Mosha, hapa Tumeuzwa kwa kuweka Jina la mumwe Mume . Mume wake ni mmiliki wa shule Za St. Patrick Arusha.

Hapa ni rushwa imetumika
Huo ni uongo, mume wake hajawahi kuwa mmiliki wa st.patrick, umechanganya mzee .
 
Wakuu wa wilaya hamfanyi kazi, mnasubiri mkeka. Sikusema nitawabadilisha leo au kesho, kwahiyo kama hamfanyi kazi hao ndiyo wangu.”

“Kutoa mkeka ni kazi yangu na nitautoa wakati muafaka, wakuu wa mkoa nataka ripoti za wakuu wenu wa wilaya.”
 
Wakuu wa wilaya hamfanyi kazi, mnasubiri mkeka. Sikusema nitawabadilisha leo au kesho, kwahiyo kama hamfanyi kazi hao ndiyo wangu.”

“Kutoa mkeka ni kazi yangu na nitautoa wakati muafaka, wakuu wa mkoa nataka ripoti za wakuu wenu wa wilaya.”
Ikiwa una biff na RC ndio maana yake
 
Apate wapi😂😂😂

Naona wenzake wanahabari wengi tu wamepata
-Felician Gasper Mtahengerwa
-Grace Henry Kingalame
-Jaffar Haniu
N.k
Jaffar haniu atakuwa ni bonge ya Kilaza,kutoka kuwa mkurugenzi wa Ikulu mawasiliano, kuwa ikulu tena sijui nani,hadi kuwa mkuu wa wilaya.Sema Uunguja unambeba sana.
 
Back
Top Bottom