raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Na wewe kama unakula mil 4 pasipo kuweka mtaji ni miongoni mwa mnao itafuna cake ya taifa ๐Kwani hapa Nilipo nimeweka mtaji gani? Hiyo mil.4 Kuna makato usisahau Hilo ๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe kama unakula mil 4 pasipo kuweka mtaji ni miongoni mwa mnao itafuna cake ya taifa ๐Kwani hapa Nilipo nimeweka mtaji gani? Hiyo mil.4 Kuna makato usisahau Hilo ๐๐๐๐
Mtaji ni elimu Yako na kuwa chawa,mwisho connection..Na wewe kama unakula mil 4 pasipo kuweka mtaji ni miongoni mwa mnao itafuna cake ya taifa ๐
Beno Malisa hakuwahi Kuwa ChademaBeno Malisa
14. Dinah Elias Mathamani โ Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Uvinza
Huyu alipata Division Zero kidato cha Nne mwaka 1987
Mna maisha magumu sana wananguAcha makasiriko wewe mbumbumbu.
Hata hao wanayofanya uchawa ni wenye vyeo Kwa taarifa Yako ,bila uchawa wanatumbuliwa kweupeee..
Niko huku jukwaani Toka 2016 hayo maisha magumu veepe? Mwenye maisha magumu anapata wapi mda wa kushind mitandaoni?Mna maisha magumu sana wanangu
Sikuona. Maza kazingua sana.Kapelekwa Bariadi, kuachwa sio rahisi wakati wao huu
Na safari hii pamoja na uchawa wote wamekupiga chini tena Jo[emoji23] poleTunakumbushana tu hawa ni Makamanda waliotengezwa Ufipa st lakini wanazidi kuupiga mwingi Siku hadi Siku
Mungu ni mwema wakati wote
Kama sio Mwanaccm unayetambulika ni ngumu sana kupata cheo Cha kuteuliwa..Lucas Mwashambwa akatambike,yaani debe lote lile na kuweka namba za simu hawajamuona? Kweli nimeamini Samia hapendi chawa na hatoi teuzi za kimalayamalaya
Namba 18 Goodluck A Mlinga ni yule mtoto wa Marehemu Kombani ambaye alikuwa mbunge wa Bunge lililopita?
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃkazi kwelikweliHuko anaenda kurogwa kabisa! Gamboshi hii hapa akileta mchezo
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Matako yako ww, ungeshinda kufanya uchawa humu
Mimi nakula pensheniNa safari hii pamoja na uchawa wote wamekupiga chini tena Jo[emoji23] pole
Ndio nani huyo? ๐ฒBeno Malisa!!! Upo hapo Erythrocyte
20. Beno Morris Malisa โ Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbeya
Hawa ni mambuzi tu, wacha wale kwa urefu wa kamba zaoTunakumbushana tu hawa ni Makamanda waliotengezwa Ufipa st lakini wanazidi kuupiga mwingi Siku hadi Siku
Mungu ni mwema wakati wote
Nafasi za kuteuliwa siyo za kutegemea kuendeshea maisha yako. Ndiyo maana kwa baadhi ya nchi, kapuku hapewi cheo cha kisiasa.Hizo nafasi za Presidential appointee sio za kujibweteka.
Muhimu ukiteuliwa ni kupambana kutafuta mitaji tu na kujiwekeza, maana muda wowote aliyekuteua anaweza kukutengua...
Jerry muro anaenda kugombea umwenyekiti wa taifa FATJerry Muro na Siriel Mchembe siwaoni.