Kupata zero o level siyo mwisho wa kusoma14. Dinah Elias Mathamani – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Uvinza
Huyu alipata Division Zero kidato cha Nne mwaka 1987
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupata zero o level siyo mwisho wa kusoma14. Dinah Elias Mathamani – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Uvinza
Huyu alipata Division Zero kidato cha Nne mwaka 1987
Popote alipo afanye kama anajikuna tumwone tafadhali😂Nilitegemea kumuona The Sunk Cost Fallacy 2 humo kumbe bado analima mahindi Ludewa 🤣🤣🤣
takuja na mabango yake ya twitter ya miradi ya mama 🤣🤣🤣 kumbe hamna kitu!P
Popote alipo afanye kama anajikuna tumwone tafadhali😂
Apate wapi😂😂😂Pascal Mayalla amepata au bado?
Mwamba ana gunduu, akaombe kibali chake kupitia kanisa. Kuna watu wanatumia kibali chake kuishi vizuri.Apate wapi😂😂😂
Naona wenzake wanahabari wengi tu wamepata
-Felician Gasper Mtahengerwa
-Grace Henry Kingalame
-Jaffar Haniu
N.k
Unavunjwa nguvuNa Victoria Mwanziva kutoka idara ya uhamasishaji chipukizi UVCCM makao makuu kwenda kua Mkuu wa Wilaya naona ni demotion kubwa,alikua anapata exposure sana but hii naona ni kutupwa benchi na Unaibu UVCCM akakosa.
Watu wanakula Nchi !!Majina yamekaa mahali pake
Lakini huyu sio G.J.Malisa wa Familia ya Gifted Heart,inayosaidia kuwarudishia tabasamu watu wenye shida mbalimbali,wasio na uwezo kwa kuamasisha walionacho kuchangia kutatua changamoto za wahitaji.Beno Malisa!!! Upo hapo Erythrocyte
20. Beno Morris Malisa – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbeya
Unataka Dr nyangasa ajisikiaje mkuu[emoji23][emoji23]Nyumba ndogo ya Yusuph Makamba Nyangasa kapelekwa kisarawe
Mimi Nilipo kuna pesa ndefu kuliko mil.4 ya DC.Nilitegemea kumuona The Sunk Cost Fallacy 2 humo kumbe bado analima mahindi Ludewa 🤣🤣🤣
Mill 4 ambayo hakuna mtaji uliowekwa si habaMimi Nilipo kuna pesa ndefu kuliko mil.4 ya DC.
Kwani hapa Nilipo nimeweka mtaji gani? Hiyo mil.4 Kuna makato usisahau Hilo 😁😁😁😁Mill 4 ambayo hakuna mtaji uliowekwa si haba
Trip za Dubai kununua vipodozi tena hamna atarudia ile rangi yake ya asiliShaka DC Kilosa
Kapigwa chini aende Yanga tuJerry Muro vipi?