Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Kwahiyo Avute SubiraPascal Mayalla huyu anateuliwa kuwa RC Ruvuma au DED Musoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo Avute SubiraPascal Mayalla huyu anateuliwa kuwa RC Ruvuma au DED Musoma
Amekatwa Mkia Aende YangaAliyeona Jina la Jerry Muro anionyeshe tafadhali
Hiyo Ndiyo Nafasi Huru KwasasAWatoto wa wakulima tuendelee kuwa chawa wa....
Tusubiri ya wakuu wa mikoa au wakurugenzi huyu uzani wa juu zaidiPascal Mayalla amepata au bado?
Huyu hapa KIBAHANa yule Nick wa Weusi jina lake nani sijui, vipi tena
28. Nick Simon John – Amehamishwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kibaha. Alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yule mpiga zumari mwashamba hajalamba uteuzi kabisa.....
Jina namba ngapi? 😆Kuna DC mmoja hapo hajui hata sentensi mbili za kiingereza, kazi ipo.
Hahahaha mdomo koma! Wacha nibadili ID ndio nitamtajaJina namba ngapi? 😆
Haijalishi maadamu anaweza kuimba pambio za kumsifu Mama.Nchi ngumu hii!Kuna DC mmoja hapo hajui hata sentensi mbili za kiingereza, kazi ipo.
Pascal Mayalla amepata au bado?
Hakatai akikataa nakunya 💩 mafungu mafungu Dar mpaka MoroSi hua wanakipinga hiki cheo cha kikoloni, akikataa kwenda kuapishwa nimekaa pale ufipa
Yule anajikomba sana. Fisiemu ukijikomba sana hawakutakiYule mpiga zumari mwashamba hajalamba uteuzi kabisa.....
Sawa nasubiri upost na hio ID mpya 😆 hajui kinge kwa hio ataajiri mkalimani?Hahahaha mdomo koma! Wacha nibadili ID ndio nitamtaja
Nazungumzia uzoefu wa kazi zile, Paskali ni kama raia watu kama hao wakipewa kazi za kiutumishi wa vile wanaanza kujifunzia kazini wakati ilibidi wawe na uzoefu wamepitia ngazi za chini kisha wakapanda vyeo au kuhamia majukumu mengine kiserikali. Unakuwaje executive wa kitu hujawahi fanya wala kufundisha, hata makampuni hayachagui executives wasio na uelewa na nafasi zao.CCM ya sasa hawajali hilo, maDED wengi wametoka UVCCM
Kumbe ni Nick Simon John. SikujuaHuyu hapa KIBAHA
AmetemwaJerry Muro vipi?