Rais Samia ateuliwa kuwa mgombea wa Uenyekiti wa CCM

Rais Samia ateuliwa kuwa mgombea wa Uenyekiti wa CCM

Kwa nini majina yatolewe siku ya mwisho kabisa kabla ya uchaguzi tens jioni? Vipi kuhusu yule ambaye ameteuliwa na hawezi kufika kutokana na umbali, haki itakuwa imetendeka?
 
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imempitisha Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Mgombea pekee wa nafasi ya Mwenyekiti wa CCM Taifa kwa mwaka 2022 hadi 2027 na jina lake litapelekwa kwenye Mkutano Mkuu December 07 kwa ajili ya kupigiwa kura.

Katika mkutano huo pia umeridhia Makamu Mwenyekiti anayemaliza muda wake Ndugu Abdulrahman Kinana kugombea tena miaka 5.

View attachment 2437764
Safi sana Rais Samia Suluhu hana mpinzani aendelee kupeperusha bendera
 
Sasa mkutano mkuu wa nini tena? Misuse of resources
 
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imempitisha Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Mgombea pekee wa nafasi ya Mwenyekiti wa CCM Taifa kwa mwaka 2022 hadi 2027 na jina lake litapelekwa kwenye Mkutano Mkuu siku ya kesho December 07 kwa ajili ya kupigiwa kura.

Na kwa nafasi ya Makamu Mwenyekiti Halmashauri Kuu imempitisha Kinana kuwa Mgombea kwa kiti cha Makamu Mwenyekiti Bara na Dkt. Hussein Mwinyi kwa upande wa Zanzibar.

Taarifa hiyo ya chama imetolewa na Katibu wa Siasa Itikadi na Uenezi wa Chama hicho Shaka Hamdu Shaka leo December 06, 2022 wakati akitoa taarifa ya kuelekea Mkutano Mkuu wa CCM December 07 na 08 jijini Dodoma.
Rais Samia Suluhu hana mpinzani kazi iendelee
 
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imempitisha Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Mgombea pekee wa nafasi ya Mwenyekiti wa CCM Taifa kwa mwaka 2022 hadi 2027 na jina lake litapelekwa kwenye Mkutano Mkuu December 07 kwa ajili ya kupigiwa kura.

Katika mkutano huo pia umeridhia Makamu Mwenyekiti anayemaliza muda wake Ndugu Abdulrahman Kinana kugombea tena miaka 5.

View attachment 2437764
Ccm nyinyi ni mazuzu tuuu

Anagombania na nani hicho Kitii

Acheni kutuona mazuzu nyie
 
Hakika mama ameikamata nchi, anakubalika ,anapendwa, na Sasa anakisuka chama akiyaondoa magugu na kuweka ngano.

Viva mama viva.
Hatujamaliza CCM .... Mlete Samia....Mlete Samia.....Mlete Samia
Rais Samia Suluhu tunae mpaka 2030 hii haina mpinzani
 
Hii nayo ni habari?
IMG_7932.jpg
 
CCM imemteua Rais Samia Suluhu Hassan kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa CCM Taifa Abdulrahman Kinana ameteuliwa kuwa mgombea wa Makamu wa Mwenyekiti Tanzania Bara. Dr. Hussein Ally Mwinyi ameteuliwa kuwa mgombea wa Makamu Mwenyekiti Tanzania Zanzibar ambaye atamokea Dr. Shein ambaye anakamilisha uongozi wake Desemba 7, 2022

Halamashauri kuu ya CCM imewateua wanachama 200 kugombea nafasi 15 za ujumbe wa Halmashauri kuu Tanzania Bara. Pia wanachama 195 wa kutoka Tanzania Zanzibar ili kugombea nafasi 15 za ujumbe wa halamashuri kuu kwa Tanzania Zanzibar.


Rais Samia Suluhu mpaka 2030 hili halina wa kupinga maana kazi yake tumeiona
 
Kama Kawa CCM ndio kawaida yao , wanaogopa ushindani kuanzia ndani ya chama hadi nje , HAMNA JIPYA HAPO
 
Back
Top Bottom