Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,266
- 8,085
kwenda 2025 kushindana na nani?..... wananchi?Tunasonga kwenda 2025
WeMarchTo2025
WeParadeReadyTo Defend CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwenda 2025 kushindana na nani?..... wananchi?Tunasonga kwenda 2025
WeMarchTo2025
WeParadeReadyTo Defend CCM
KIGUMUKIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!
Wacha wee!! Ngojeni Kiama chenu chaja.CCM ni imara Sana Pengine tangu kuanza kwake mwaka 1977
Safi sana Rais Samia Suluhu hana mpinzani aendelee kupeperusha benderaHalmashauri Kuu ya CCM Taifa imempitisha Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Mgombea pekee wa nafasi ya Mwenyekiti wa CCM Taifa kwa mwaka 2022 hadi 2027 na jina lake litapelekwa kwenye Mkutano Mkuu December 07 kwa ajili ya kupigiwa kura.
Katika mkutano huo pia umeridhia Makamu Mwenyekiti anayemaliza muda wake Ndugu Abdulrahman Kinana kugombea tena miaka 5.
View attachment 2437764
Rais Samia Suluhu hana mpinzani kazi iendeleeHalmashauri Kuu ya CCM Taifa imempitisha Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Mgombea pekee wa nafasi ya Mwenyekiti wa CCM Taifa kwa mwaka 2022 hadi 2027 na jina lake litapelekwa kwenye Mkutano Mkuu siku ya kesho December 07 kwa ajili ya kupigiwa kura.
Na kwa nafasi ya Makamu Mwenyekiti Halmashauri Kuu imempitisha Kinana kuwa Mgombea kwa kiti cha Makamu Mwenyekiti Bara na Dkt. Hussein Mwinyi kwa upande wa Zanzibar.
Taarifa hiyo ya chama imetolewa na Katibu wa Siasa Itikadi na Uenezi wa Chama hicho Shaka Hamdu Shaka leo December 06, 2022 wakati akitoa taarifa ya kuelekea Mkutano Mkuu wa CCM December 07 na 08 jijini Dodoma.
Ccm nyinyi ni mazuzu tuuuHalmashauri Kuu ya CCM Taifa imempitisha Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Mgombea pekee wa nafasi ya Mwenyekiti wa CCM Taifa kwa mwaka 2022 hadi 2027 na jina lake litapelekwa kwenye Mkutano Mkuu December 07 kwa ajili ya kupigiwa kura.
Katika mkutano huo pia umeridhia Makamu Mwenyekiti anayemaliza muda wake Ndugu Abdulrahman Kinana kugombea tena miaka 5.
View attachment 2437764
Rais Samia Suluhu tunae mpaka 2030 hii haina mpinzaniHakika mama ameikamata nchi, anakubalika ,anapendwa, na Sasa anakisuka chama akiyaondoa magugu na kuweka ngano.
Viva mama viva.
Hatujamaliza CCM .... Mlete Samia....Mlete Samia.....Mlete Samia
CCM imemteua Rais Samia Suluhu Hassan kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa CCM Taifa Abdulrahman Kinana ameteuliwa kuwa mgombea wa Makamu wa Mwenyekiti Tanzania Bara. Dr. Hussein Ally Mwinyi ameteuliwa kuwa mgombea wa Makamu Mwenyekiti Tanzania Zanzibar ambaye atamokea Dr. Shein ambaye anakamilisha uongozi wake Desemba 7, 2022
Halamashauri kuu ya CCM imewateua wanachama 200 kugombea nafasi 15 za ujumbe wa Halmashauri kuu Tanzania Bara. Pia wanachama 195 wa kutoka Tanzania Zanzibar ili kugombea nafasi 15 za ujumbe wa halamashuri kuu kwa Tanzania Zanzibar.
Kichwani umejaza mabogakwenda 2025 kushindana na nani?..... wananchi?
Unataka imvute nani zaidi?CCM haina mvuto ukizingatia sasa wazanzbar walio wachache ndo wapo kwenye sehemu nyeti.Upinzani wangekuwa makini wangekuwa popular sana. Sema nao hawaeleweki.Eti Dr Samia. 🤣