Rais Samia ateuliwa kuwa mgombea wa Uenyekiti wa CCM

Rais Samia ateuliwa kuwa mgombea wa Uenyekiti wa CCM

Mtazoea tuu ! Hata wao pia waliulalamikia sana muungano huu lakini sasa wameuzoea sasa hawalalamiki tena !! 😅😂
Sasa wanaufurahia,maana msaada ukitoka wanapata pasu sawa na Tanganyika. Hivi yaani why Zanzibar isiendelee jamani?Kama wanapata gawiwo sawa na bara kwenye population mara 12 zaidi.
 
Sasa wanaufurahia,maana msaada ukitoka wanapata pasu sawa na Tanganyika. Hivi yaani why Zanzibar isiendelee jamani?Kama wanapata gawiwo sawa na bara kwenye population mara 12 zaidi.
Ngoja tuone kama watabaki vilevile au watabadilika !! Ikibadilika kwa maendeleo itapendeza sana maana huko nako ni Tanzania Visiwani !!
 
Kweli nilikuwa mtoto! Me nikadhani ukiwa Raisi basi ni mweñyekiti wa CCM automatically
 
Back
Top Bottom