Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,266
- 8,085
unaweza ukasema hivyo, kwa sababu ulivyomaliza shule ya msingi ukadhani umemaliza chuo kikuu na hivyo rhetorics huwezi ukazielewa. wenye ufahamu wameelewaKichwani umejaza maboga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unaweza ukasema hivyo, kwa sababu ulivyomaliza shule ya msingi ukadhani umemaliza chuo kikuu na hivyo rhetorics huwezi ukazielewa. wenye ufahamu wameelewaKichwani umejaza maboga
Sema ni m/kiti mteule...imekwisha hiyoHalmashauri Kuu ya CCM Taifa imempitisha Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Mgombea pekee wa nafasi ya Mwenyekiti wa CCM Taifa kwa mwaka 2022 hadi 2027 na jina lake litapelekwa kwenye Mkutano Mkuu December 07 kwa ajili ya kupigiwa kura.
Katika mkutano huo pia umeridhia Makamu Mwenyekiti anayemaliza muda wake Ndugu Abdulrahman Kinana kugombea tena miaka 5.
View attachment 2437764
Kwa muungano huu ulivyo mnufaika mkubwa ni Zanzibar ila wamefanikiwa kulinda nafasi yao ya kuinyonya Tanganyika kwa staili yao ya kulalamika kuwa wao ndio wasionufaika na muungqno.Kwenye watu milion 60 majina 200 yatapigiwa kura,kwenye watu million 2 majina 123 yatapigiwa kura.
Hivi kwa nini Zanzibar isiwe mkoa ?
Yaani Nyerere alizidiwa akili na Karume kwa kweli.Si kwa muungano wa usio na uwiiano kabisa.
CCM itaendelea kuwa stable chini ya Samia, Mwinyi na Kinana.CCM's glorious days are well past them.
Huu upuuzi uraisha lini kwenye hiki chama chakavu?kuwa Mgombea pekee
Wewe unadanga unasubiri wenzako (wapinzani) ndiyo wakupiganie? Kama inakuumq shiriki na wewe kwenye siasaUpinzani wangekuwa makini wangekuwa popular
Zanzibar haiwi mkoa kwa sababu hatutaki mfumo wa serikali moja. Wanabembelezwa.Kwenye watu milion 60 majina 200 yatapigiwa kura,kwenye watu million 2 majina 123 yatapigiwa kura.
Hivi kwa nini Zanzibar isiwe mkoa ?
Yaani Nyerere alizidiwa akili na Karume kwa kweli.Si kwa muungano wa usio na uwiiano kabisa.
Utaratibu wa kugombea na ukuta uliasisiwa na baba wa taifa. Kura ya ndiyo au hapana.Ccm nyinyi ni mazuzu tuuu
Anagombania na nani hicho Kitii
Acheni kutuona mazuzu nyie
wameteuliwa wangapi kugombea hio nafasHalmashauri Kuu ya CCM Taifa imempitisha Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Mgombea pekee wa nafasi ya Mwenyekiti wa CCM Taifa kwa mwaka 2022 hadi 2027 na jina lake litapelekwa kwenye Mkutano Mkuu December 07 kwa ajili ya kupigiwa kura.
Katika mkutano huo pia umeridhia Makamu Mwenyekiti anayemaliza muda wake Ndugu Abdulrahman Kinana kugombea tena miaka 5.
View attachment 2437764
nchi ya mashoga ya ccm kule lumumba ndio ameikamataHakika mama ameikamata nchi, anakubalika ,anapendwa, na Sasa anakisuka chama akiyaondoa magugu na kuweka ngano.
Viva mama viva.
Hatujamaliza CCM .... Mlete Samia....Mlete Samia.....Mlete Samia
Uhandisi wa mifumo ya computer.Ni dkt wa kitu gani?
Tangu walifumue tarumbeta unalokaliaga bado akili haijakurudi, vipi biashara ya simu? Au ndio umekuwa mke wa mbwawenchi ya mashoga ya ccm kule lumumba ndio ameikamata
[emoji38][emoji38][emoji38]Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imempitisha Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Mgombea pekee wa nafasi ya Mwenyekiti wa CCM Taifa kwa mwaka 2022 hadi 2027 na jina lake litapelekwa kwenye Mkutano Mkuu December 07 kwa ajili ya kupigiwa kura.
Katika mkutano huo pia umeridhia Makamu Mwenyekiti anayemaliza muda wake Ndugu Abdulrahman Kinana kugombea tena miaka 5.
View attachment 2437764