Rais Samia ateuliwa kuwa mgombea wa Uenyekiti wa CCM

Rais Samia ateuliwa kuwa mgombea wa Uenyekiti wa CCM

Kwenye watu milion 60 majina 200 yatapigiwa kura,kwenye watu million 2 majina 123 yatapigiwa kura.
Hivi kwa nini Zanzibar isiwe mkoa ?
Yaani Nyerere alizidiwa akili na Karume kwa kweli.Si kwa muungano wa usio na uwiiano kabisa.
Jana Ujerumani (population 78million) walicheza World Cup ba time ta Qatar (watu laki 8). Kila timu ilikuwa na Golikipa mmoja haijalishi nyiye mko wangapi. Karume na Nyerere walikuwa ndiyo Golikipa kwenye mechi hiyo tar 26 Apr 1964 kila moja akilinda golf lake. Huu ni mwaka w 78 bado metchi inadunda Wasaliti wako nje.
 
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imempitisha Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Mgombea pekee wa nafasi ya Mwenyekiti wa CCM Taifa kwa mwaka 2022 hadi 2027 na jina lake litapelekwa kwenye Mkutano Mkuu December 07 kwa ajili ya kupigiwa kura.

Katika mkutano huo pia umeridhia Makamu Mwenyekiti anayemaliza muda wake Ndugu Abdulrahman Kinana kugombea tena miaka 5.

View attachment 2437764

Kongole kwake, ataupiga mwingi 2027
 
Jana Ujerumani (population 78million) walicheza World Cup ba time ta Qatar (watu laki 8). Kila timu ilikuwa na Golikipa mmoja haijalishi nyiye mko wangapi. Karume na Nyerere walikuwa ndiyo Golikipa kwenye mechi hiyo tar 26 Apr 1964 kila moja akilinda golf lake. Huu ni mwaka w 78 bado metchi inadunda Wasaliti wako nje.
Havihusiani. Nchi gani inazidiwa popolation na mkoa wa Dar?It does not make sense.
 
CCM imemteua Rais Samia Suluhu Hassan kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa CCM Taifa Abdulrahman Kinana ameteuliwa kuwa mgombea wa Makamu wa Mwenyekiti Tanzania Bara. Dr. Hussein Ally Mwinyi ameteuliwa kuwa mgombea wa Makamu Mwenyekiti Tanzania Zanzibar ambaye atamokea Dr. Shein ambaye anakamilisha uongozi wake Desemba 7, 2022

Halamashauri kuu ya CCM imewateua wanachama 251 kugombea nafasi 15 za ujumbe wa Halmashauri kuu Tanzania Bara. Pia wanachama 123 wa kutoka Tanzania Zanzibar ili kugombea nafasi 15 za ujumbe wa halmashuri kuu kwa Tanzania Zanzibar.

Hiyo sio habari, mwenyekiti wa CCM huwa anachaguliwa automatically wala sio kwa uwezo, bali cheo chake cha urais.
 
Havihusiani. Nchi gani inazidiwa popolation na mkoa wa Dar?It does not make sense.
Mkoa wa Dar una watu wengi kuliko Denmark, Finland, Belgium, Norway, Botswana, Latvia, na Lithuania. Upo hapo?
 
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imempitisha Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Mgombea pekee wa nafasi ya Mwenyekiti wa CCM Taifa kwa mwaka 2022 hadi 2027 na jina lake litapelekwa kwenye Mkutano Mkuu December 07 kwa ajili ya kupigiwa kura.

Katika mkutano huo pia umeridhia Makamu Mwenyekiti anayemaliza muda wake Ndugu Abdulrahman Kinana kugombea tena miaka 5.

View attachment 2437764
Chama kimepoteza mwelekeo

Rushwa ilivgokithiri chaguzi za chini huko haiyumkiniki hata Taifa nako mambo ni yaleyale
 
katiba inaruhusu rais anayetokana na ccm asiwe mwenyekiti wa ccm?.....mbona mnafanya kimchezo cha mazingaombwe??!!😀😀😀

Katiba inaruhusu, ila CCM wanaogopa mwenyekiti wa CCM asipokuwa rais watakosa mbeleko ya vyombo vya dola.
 
Hiyo sio habari, mwenyekiti wa CCM huwa anachaguliwa automatically wala sio kwa uwezo, bali cheo chake cha urais.
Ni sawa ni kusema kuwa Mo huwa anakula chakula chake automatically kwa sababu ya hela zake alizonazo. Embu soma Katiba ya ACT Wazalendo: mtu anayeitwa Leader otomatically ndiyo Rais wakishinda. Waarabu walifikiri wamemnunua zittokabwe kunde hilo hawakuliona.
 
Chama kimepoteza mwelekeo

Rushwa ilivgokithiri chaguzi za chini huko haiyumkiniki hata Taifa nako mambo ni yaleyale

Huko ndio kuna rushwa ya hatari, hizi pesa za mabehewa ya treni ndio zimeingizwa huko.
 
Ni sawa ni kusema kuwa Mo huwa anakula chakula chake automatically kwa sababu ya hela zake alizonazo. Embu soma Katiba ya ACT Wazalendo: mtu anayeitwa Leader otomatically ndiyo Rais wakishinda. Waarabu walifikiri wamemnunua zittokabwe kunde hilo hawakuliona.

Irrelevant.
 
Kwenye watu milion 60 majina 200 yatapigiwa kura,kwenye watu million 2 majina 123 yatapigiwa kura.
Hivi kwa nini Zanzibar isiwe mkoa ?
Yaani Nyerere alizidiwa akili na Karume kwa kweli.Si kwa muungano wa usio na uwiiano kabisa.
Mtazoea tuu ! Hata wao pia waliulalamikia sana muungano huu lakini sasa wameuzoea sasa hawalalamiki tena !! 😅😂
 
Back
Top Bottom