Jana Ujerumani (population 78million) walicheza World Cup ba time ta Qatar (watu laki 8). Kila timu ilikuwa na Golikipa mmoja haijalishi nyiye mko wangapi. Karume na Nyerere walikuwa ndiyo Golikipa kwenye mechi hiyo tar 26 Apr 1964 kila moja akilinda golf lake. Huu ni mwaka w 78 bado metchi inadunda Wasaliti wako nje.Kwenye watu milion 60 majina 200 yatapigiwa kura,kwenye watu million 2 majina 123 yatapigiwa kura.
Hivi kwa nini Zanzibar isiwe mkoa ?
Yaani Nyerere alizidiwa akili na Karume kwa kweli.Si kwa muungano wa usio na uwiiano kabisa.