Jana Ujerumani (population 78million) walicheza World Cup ba time ta Qatar (watu laki 8). Kila timu ilikuwa na Golikipa mmoja haijalishi nyiye mko wangapi. Karume na Nyerere walikuwa ndiyo Golikipa kwenye mechi hiyo tar 26 Apr 1964 kila moja akilinda golf lake. Huu ni mwaka w 78 bado metchi inadunda Wasaliti wako nje.Kwenye watu milion 60 majina 200 yatapigiwa kura,kwenye watu million 2 majina 123 yatapigiwa kura.
Hivi kwa nini Zanzibar isiwe mkoa ?
Yaani Nyerere alizidiwa akili na Karume kwa kweli.Si kwa muungano wa usio na uwiiano kabisa.
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imempitisha Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Mgombea pekee wa nafasi ya Mwenyekiti wa CCM Taifa kwa mwaka 2022 hadi 2027 na jina lake litapelekwa kwenye Mkutano Mkuu December 07 kwa ajili ya kupigiwa kura.
Katika mkutano huo pia umeridhia Makamu Mwenyekiti anayemaliza muda wake Ndugu Abdulrahman Kinana kugombea tena miaka 5.
View attachment 2437764
Havihusiani. Nchi gani inazidiwa popolation na mkoa wa Dar?It does not make sense.Jana Ujerumani (population 78million) walicheza World Cup ba time ta Qatar (watu laki 8). Kila timu ilikuwa na Golikipa mmoja haijalishi nyiye mko wangapi. Karume na Nyerere walikuwa ndiyo Golikipa kwenye mechi hiyo tar 26 Apr 1964 kila moja akilinda golf lake. Huu ni mwaka w 78 bado metchi inadunda Wasaliti wako nje.
katiba inaruhusu rais anayetokana na ccm asiwe mwenyekiti wa ccm?.....mbona mnafanya kimchezo cha mazingaombwe??!!😀😀😀Ni jambo jema
CCM imemteua Rais Samia Suluhu Hassan kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa CCM Taifa Abdulrahman Kinana ameteuliwa kuwa mgombea wa Makamu wa Mwenyekiti Tanzania Bara. Dr. Hussein Ally Mwinyi ameteuliwa kuwa mgombea wa Makamu Mwenyekiti Tanzania Zanzibar ambaye atamokea Dr. Shein ambaye anakamilisha uongozi wake Desemba 7, 2022
Halamashauri kuu ya CCM imewateua wanachama 251 kugombea nafasi 15 za ujumbe wa Halmashauri kuu Tanzania Bara. Pia wanachama 123 wa kutoka Tanzania Zanzibar ili kugombea nafasi 15 za ujumbe wa halmashuri kuu kwa Tanzania Zanzibar.
Mkoa wa Dar una watu wengi kuliko Denmark, Finland, Belgium, Norway, Botswana, Latvia, na Lithuania. Upo hapo?Havihusiani. Nchi gani inazidiwa popolation na mkoa wa Dar?It does not make sense.
Chama kimepoteza mwelekeoHalmashauri Kuu ya CCM Taifa imempitisha Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Mgombea pekee wa nafasi ya Mwenyekiti wa CCM Taifa kwa mwaka 2022 hadi 2027 na jina lake litapelekwa kwenye Mkutano Mkuu December 07 kwa ajili ya kupigiwa kura.
Katika mkutano huo pia umeridhia Makamu Mwenyekiti anayemaliza muda wake Ndugu Abdulrahman Kinana kugombea tena miaka 5.
View attachment 2437764
katiba inaruhusu rais anayetokana na ccm asiwe mwenyekiti wa ccm?.....mbona mnafanya kimchezo cha mazingaombwe??!!😀😀😀
Ni sawa ni kusema kuwa Mo huwa anakula chakula chake automatically kwa sababu ya hela zake alizonazo. Embu soma Katiba ya ACT Wazalendo: mtu anayeitwa Leader otomatically ndiyo Rais wakishinda. Waarabu walifikiri wamemnunua zittokabwe kunde hilo hawakuliona.Hiyo sio habari, mwenyekiti wa CCM huwa anachaguliwa automatically wala sio kwa uwezo, bali cheo chake cha urais.
Chama kimepoteza mwelekeo
Rushwa ilivgokithiri chaguzi za chini huko haiyumkiniki hata Taifa nako mambo ni yaleyale
Aisee...chama kilishakufaKatiba inaruhusu, ila CCM wanaogopa mwenyekiti wa CCM asipokuwa rais watakosa mbeleko ya vyombo vya dola.
Ni sawa ni kusema kuwa Mo huwa anakula chakula chake automatically kwa sababu ya hela zake alizonazo. Embu soma Katiba ya ACT Wazalendo: mtu anayeitwa Leader otomatically ndiyo Rais wakishinda. Waarabu walifikiri wamemnunua zittokabwe kunde hilo hawakuliona.
Ata mshana naye ni dakta vilevileNi dkt wa kitu gani?
Sura ya kaziHii nayo ni habari?
View attachment 2437798
Mtazoea tuu ! Hata wao pia waliulalamikia sana muungano huu lakini sasa wameuzoea sasa hawalalamiki tena !! 😅😂Kwenye watu milion 60 majina 200 yatapigiwa kura,kwenye watu million 2 majina 123 yatapigiwa kura.
Hivi kwa nini Zanzibar isiwe mkoa ?
Yaani Nyerere alizidiwa akili na Karume kwa kweli.Si kwa muungano wa usio na uwiiano kabisa.
Singapore, Malta, kwa kuanziaHavihusiani. Nchi gani inazidiwa popolation na mkoa wa Dar?It does not make sense.
Wewe nawe.Yaaani nchi iliyo ndani ya nchi moja,kuzidiwa na population na mkoa uliopo ndani ya hiyo hiyo nchi.Singapore, Malta, kwa kuanzia