Pre GE2025 Rais Samia atoa maagizo ya Simba dume wa Kizimkazi kupewa jina la Tundu Lissu

Pre GE2025 Rais Samia atoa maagizo ya Simba dume wa Kizimkazi kupewa jina la Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Akiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina.... akasema mpeni Tundu Lissu!!

Simba ni mtawala na ni mfalme... ana nguvu na akili sana.... Samia alijiita chui Jike leo kamwita Lissu Simba....

Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.

Tumesema mara nyingi humu jukwaani huyu mama kachanganyikiwa sana na CHADEMA na anawawaza saa zote. Tundu Lissu anampa sleepless night huyu bibi.

Jionee::::

View: https://youtu.be/UXFoyKtbEEA?si=h1mfrqvHJnRrPrh7

Nimemwona hapo "tundu lissu" anaruka-ruka hapo kwenye banda!
😊😊😊😊😊
 
Simba ni mnyama mwenye makeke mengi ya kutisha, ila hikma ya Mwanadamu huweza kumdhibiti na kumfungia kwenye kizimba na akabaki anabweka kwa mazoea ya kuhisi yupo porini kumbe kafungiwa kizimbani.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameweka jiwe la Msingi Mradi wa Kasa Salaam-Cave Kizimkazi Dimbani leo tarehe 24 Agosti, 2024.

Wakati anatembelea mabanda ya wanyama alifika kwenye banda moja la Simba dume aliyekuwa anaunguruma kwa ukali, akauliza kama amepewa jina na baada ya kujibiwa kuwa hana jina alisema wampe jina la Tundu Lissu.

Hii ina maana gani wadau?

 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameweka jiwe la Msingi Mradi wa Kasa Salaam-Cave Kizimkazi Dimbani leo tarehe 24 Agosti, 2024.

Wakati anatembelea mabanda ya wanyama alifika kwenye banda moja la simba Mkali, akauliza kama amepewa jina na baada ya kujibiwa kuwa hana jina alisema wampe jina la Tundu Lissu.

Hii ina maana gani wadau?
Ina maanisha kwamba amewaagizaa Simba aitwe Tundu Lissu.
 
Kabisa, anafaa kufugwa tu, na huwa anatembea bila mavazi, na hana utashi wa kibinadamu, bora hata kondoo huwa anafunika kule sehemu ya rivasi.

Lissu na yeye awekwe bandani kama huyo simba, na simba mwenyewe ana wenge kama Lissu
Una uhakika Mkuu kuwa leo umekumbuka kumeza Vidonge vyako ulivyopewa kutoka Milembe au umesahau umeze?
 
Akiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina.... akasema mpeni Tundu Lissu!!

Simba ni mtawala na ni mfalme... ana nguvu na akili sana.... Samia alijiita chui Jike leo kamwita Lissu Simba....

Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.

Tumesema mara nyingi humu jukwaani huyu mama kachanganyikiwa sana na CHADEMA na anawawaza saa zote. Tundu Lissu anampa sleepless night huyu bibi.

Jionee::::

View: https://youtu.be/UXFoyKtbEEA?si=h1mfrqvHJnRrPrh7

Huyo simba ni wamemtoa mbugani wiki hihiii maana hajatulia kabisa
 
Hela za Watanganyika zinateketea mtu katoka Zimbabwe kaenda Kizimkazi halafu katoka Kizimkazi kaenda Msata kisha Karudi Kizimkazi lakini hela za kuhudumia watoto,mama wajawazito na wazee mahospitalini tunaambiwa serikali haina uwezo.
 
Akiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina.... akasema mpeni Tundu Lissu!!

Simba ni mtawala na ni mfalme... ana nguvu na akili sana.... Samia alijiita chui Jike leo kamwita Lissu Simba....

Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.

Tumesema mara nyingi humu jukwaani huyu mama kachanganyikiwa sana na CHADEMA na anawawaza saa zote. Tundu Lissu anampa sleepless night huyu bibi.

Jionee::::

View: https://youtu.be/UXFoyKtbEEA?si=h1mfrqvHJnRrPrh7

Dah nilitaka kupanic nikajua kasema timu ya Simba iitwe Tundu Lissu...
 
Back
Top Bottom