Rais Samia atoa Milioni 2 kwa anayekumbatia Watoto hospitali ya Amana

Nyie UVCCM msitutoe kwenye reli kuhusu hoja za bandari. Sasa hivi tumestick kwenye hoja za mkataba wa kijambazi wa bandari zetu. Ni spana baada ya spana mpaka muite maji mma. Mmejimilikisha rasilimali za nchi utafikiri ni mali za familia zenu.Nyambafu!!!
 
Magu alikuwa anatoa milionkumi na zaidi kwa Mambo Kama haya yeye anatoa hell ndogo Sana ika kwenye mamipira anatoa kubwa.
Watanzania tumeona rais katoa ndogo sana jamani tupewa namba ya huyo mama tumpe buku buku gafla atapata nyingi
 
wanataka kuhamisha magoliii πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…