Rais Samia atua mkoani Kilimanjaro tayari kuzungumza na Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi

Rais Samia atua mkoani Kilimanjaro tayari kuzungumza na Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi

Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Ametua Mkoani Kilimanjaro na kupokelewa na viongozi mbalimbali wa mkoa huo pamoja na Arusha kwa ajili ya shughuli nzito ya hapo kesho .

Ambapo Rais wetu mpendwa anatarajiwa kuwa mgeni Rasmi katika kufunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Wakuu waandamizi wa Jeshi la Polisi pamoja na maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi ,yatakayofanyika katika shule ya Polisi Tanzania,Moshi KilimanjaroView attachment 3097607

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mwepesiii sanaa amepandisha mihela kwenye byombo vyoote ulinzi anaogopa kivuli chakee.......hana jipya angepumzika tu hiyo ngoma haiwezi asilani anajidanganya na machawa wakee.....
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Ametua Mkoani Kilimanjaro na kupokelewa na viongozi mbalimbali wa mkoa huo pamoja na Arusha kwa ajili ya shughuli nzito ya hapo kesho .

Ambapo Rais wetu mpendwa anatarajiwa kuwa mgeni Rasmi katika kufunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Wakuu waandamizi wa Jeshi la Polisi pamoja na maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi ,yatakayofanyika katika shule ya Polisi Tanzania,Moshi KilimanjaroView attachment 3097607

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kikao cha kupanga kuteka na kuua wakosoaji wa ufisadi na kuuzwa loliondo
 
Mwepesiii sanaa amepandisha mihela kwenye byombo vyoote ulinzi anaogopa kivuli chakee.......hana jipya angepumzika tu hiyo ngoma haiwezi asilani anajidanganya na machawa wakee.....
Acha maskhara weee....

Amiri Jeshi wa majeshi ya ulinzi na usalama aigope ngoma ya "kadenge"?!! 😲😲

Maskhara hayo mkuu wangu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Ametua Mkoani Kilimanjaro na kupokelewa na viongozi mbalimbali wa mkoa huo pamoja na Arusha kwa ajili ya shughuli nzito ya hapo kesho .

Ambapo Rais wetu mpendwa anatarajiwa kuwa mgeni Rasmi katika kufunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Wakuu waandamizi wa Jeshi la Polisi pamoja na maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi ,yatakayofanyika katika shule ya Polisi Tanzania,Moshi KilimanjaroView attachment 3097607

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Habari ikiletwa na wewe sijui kwa nini huwa nahisi ni 🚮🚮🚮 sorry sijui kwa nini?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Ametua Mkoani Kilimanjaro na kupokelewa na viongozi mbalimbali wa mkoa huo pamoja na Arusha kwa ajili ya shughuli nzito ya hapo kesho .

Ambapo Rais wetu mpendwa anatarajiwa kuwa mgeni Rasmi katika kufunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Wakuu waandamizi wa Jeshi la Polisi pamoja na maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi ,yatakayofanyika katika shule ya Polisi Tanzania,Moshi KilimanjaroView attachment 3097607

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Asisahau kutoa maaagizo CHaDEMa washughulikiwe! Ikiwzekana wapotezwe kabisa tubaki ccm wenyewe na vyama pinzani pandikizi aka matawi yetu. Akisahau naomba mumkumbushe.
 
Chifu Hangaya anatosha sana tu....

Nchi ni zaidi ya siasa za mitandaoni na majukwaani......

#Nchi Kwanza😍

#UTAWALA HAUUZWI SOKONI
Ila unaweza kuokotwa kama embe chini ya mwembe pale utakapoweza kumtanguliza kiongozi wa juu Yako.
 
Asisahau kutoa maaagizo CHaDEMa washughulikiwe! Ikiwzekana wapotezwe kabisa tubaki ccm wenyewe na vyama pinzani pandikizi aka matawi yetu. Akisahau naomba mumkumbushe.
CCM hoyee!! hata mimi leo nashangaa nimeahirisha kufikiri kizalendo a.k.a kujizima data
 
Mhhhhhh
 

Attachments

  • 20240913_201223.jpg
    20240913_201223.jpg
    217 KB · Views: 1
Mwepesiii sanaa amepandisha mihela kwenye byombo vyoote ulinzi anaogopa kivuli chakee.......hana jipya angepumzika tu hiyo ngoma haiwezi asilani anajidanganya na machawa wakee.....
Wivu tu unaokusumbua hapo ulipo.
 
Mwepesiii sanaa amepandisha mihela kwenye byombo vyoote ulinzi anaogopa kivuli chakee.......hana jipya angepumzika tu hiyo ngoma haiwezi asilani anajidanganya na machawa wakee.....
Urais ni taasisi hata wwe ukiwekwa pale unaweza!!
 
Back
Top Bottom