Rais Samia atunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa, Korea, Juni 3, 2024

Japo mimi sio mwanasiasa wala sipendi kujulihusisha nayo ila jpm ndio kiongozi alifanya mambo ya maendeleo yaliyoonekana kwa mda mfupi tu tangu tumepata uhuru , yule bwana alikua anania ya kufikisha taifa mahali pazuri .

Kipindi chake nilikaa kenya 🇰🇪 kama miezi 6 iv niliona kasi ya huyo bwana ya maendeleo mpaka majirani walikua wanaihofia .
 
Hizi PhD za mfululilizo zinanipa alarm juu ya rasilimali za Tanzania.
India wametoa PhD majuzi tu wamepewa gati nambari 2.
Sasa sijui JMT au DP ndio waliowapa tenda.
Korea nao wameona mpenyo.
umesikia wapi PhD za heshima zikanunuliwa? Mradi unapewa kwa merit yako km kampuni. Omba hata wewe km una uwezo, au ulitaka hilo gati namba 2 aendeshe nani? Mmejaa maujinga tu na husda
 
Alifirisi nchi. Hakuwa na kipaumbele kulingana na bajeti ya nchi. Huwezi kuendesha nchi as if bajeti ya nchi ni sawa na bajeti ya marekani ndo mana vyuma vilikuwa vimekaza kila sehemu na watu wamekufa wengi kwa stress ndo kuvunjika kwa sababu yake
 
Kutunukiwa na kusifiwa for Nothing,mwenye anuani ya hiyo Taasisi ya Korea aiweke humu ili tuwaonyeshe madudu.
 
Nyerere,Mugabe nk walitunukiwa nyinsi Sana Sasa sijui kama Ni Upendo wa Mabeberu au? 🤣🤣
 
Tulieni hivyo hivyo nyie si hamjui mnataka nini ? Subirini sasa unaambiwa hata Sultan Mangungo wa msovero alipewa chupa la k vant tu na mashine ya kunyolea ndevu akagawa nchi ,akitokea mtu akikaza wote mnapaza mishipa ya shingo humu ,diktekta,muuaji,mtekaji haya kula Phd hizo na bado phd kutoka Gambia,Togo, Comoro, na burundi nao washaweka oda wanataka watoe phd
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…