Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Biblia haiwezi kuwa nyepesi inayotafuna herufi kwa herufi. Kuna vitabu vya kinabii mfano cha Ufunuo wa Yohana ambacho kama huna Roho wa Bwana kukufunulia huwezi kuelewa.
Cha kukusaidia tafuta walimu wa dini na watumishi wa kiroho wakusaidie kukufunulia usiyoyaelewa au omba kwa Roho wa Bwana na si kuuliza swali linalotia shaka ufahamu wako.
Swali llinalotia shaka ufahamu wangu?!!---- ni swali linalowashinda nyinyi wenye roho ya Bwana!!, au tuseme huyo roho wenu anaogopa maswali na ndio maana anashindwa kuwafunulia majibu ya hako kaswali ??!.
Ni wapi ndani ya Biblia ambapo ninaweza kusoma ili nitambue kwamba Yesu ndiye Lion of Judah??, just a simple question.