Rais Samia Aufunga Mkoa Wa Tanga Kwa Muda .Watu Wafurika Mkutanoni hata sisiminzi hawezi kupata mahali pa kupitisha Mguu Wake..

Mbona Shule zote kuanzia Kabuku zimefungwa na wananchi wanasombwa na Fuso?
Tayari umeanza kuweweseka. Na hapo ni utangulizi tu kabla ya picha lenyewe. Uwanja umejaa mpaka nje ya uwanja watu wamekosa pa kuweka miguu yao.
 
Kwani wana Tanga wana ongozwa na Tv? Walichagua tv kuwaongoza? Waliombwa kura kupitia Tv? Miradi itakaguliwa kwa Tv? Majibu na majawabu kwa wananchi yatatolewa kwa Tv?
Walifanya hivyo ili mkoa wao ufungwe ?
 
Hatari wacha upande ule waendelee na tone la maji tone wapate mtaji wa kufungua genge!
 
Mkutano ukiisha, hakikisheni hao watu mnawarudisha mlikowatoa
 
Mkutano ukiisha, hakikisheni hao watu mnawarudisha mlikowatoa
Kwani wamekwambia ni vipofu mpaka wasahau makwao? Wamekwenda kwa miguu yao na watarejea kwa miguu yao wenyewe wakiwa wenye tabasamu na furaha kubwa sana mioyoni mwao.
 
Mbona wewe hujasafirishwa? Watu wana hudhulia kwa hiyari ya mioyo yao na upendo wao kwa Rais wetu
Mimi ninajitambua nasafirishwaje kwenda kumuona muuza bandari? Nimeambiwa maeneo ya Mkinga mabus ya Ratco yameenda kubeba watu bure kwenda kujaza uwanja.
 
Mimi ninajitambua nasafirishwaje kwenda kumuona muuza bandari. Nimeambiwa maeneo ya Mkinga mabus ya Ratco yameenda kubeba watu bure kwenda kujaza uwanja.
Unaona ulivyo Chizi? Si unaona unasema umeambiwa . Sasa nakwambia ya kuwa watu wamefurika na kumiminika kumlaki Rais Samia kwa hiyari ya mioyo yao
 
Unaona ulivyo Chizi? Si unaona unasema umeambiwa . Sasa nakwambia ya kuwa watu wamefurika na kumiminika kumlaki Rais Samia kwa hiyari ya mioyo yao
Ni chizi kwa kuambiwa na ndugu zangu kwamba leo hata wale ambao hawajaenda mjini, wamepata fursa ya kutembea?
 
Mimi siyo chawa ndugu yangu mtanzania. Mimi nawaleteeni taarifa na habari za kweli zikiwa bado za motomoto
Wewe ni zaidi ya chawa mpumbavu, 2mbli mpaka uliharibu ishu yake. Kafie mbali tu, huyo mama yako unayemfanyia uchawa siku akikujua vyema lazima akupige chini. Bora kiasi Tlaatlaah japo mnafanana
 
Wewe ni zaidi ya chawa mpumbavu, 2mbli mpaka uliharibu ishu yake. Kafie mbali tu, huyo mama yako unayemfanyia uchawa siku akikujua vyema lazima akupige chini. Bora kiasi Tlaatlaah japo mnafanana
Wivu tu ndio unakusumbua unapoona watu maelfu mpaka milioni ya watanzania wakimlaki Rais Samia kila akanyagapo. Na huo ni mwanzo tu. Subiri picha yenyewe kampeni zianze utaona moto wake. Ni lazima utachangayikiwa na kuanza kuokota Makopo jalalani huko
 
Hii inaonyesha nguvu yake hata baada ya kuwapopoa akina ummy na january

Mama komaa hapohapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…