Rais Samia Aufunga Mkoa Wa Tanga Kwa Muda .Watu Wafurika Mkutanoni hata sisiminzi hawezi kupata mahali pa kupitisha Mguu Wake..

Simizi hao watakuwa na ukubwa kama wa tembo!!
 
Wengi hapo ni walimu na wanafunzi wa sekondari na vyuo. Kuna mtoto wa ndg yangu amenipa taarifa kwamba wamesombwa kutoka chuoni.
Acha kuweweseka wewe. Kwani hao siyo watanzania? Siyo wananchi? Siyo wapiga kura?
 
Leo ijumaa siku ya kazi unakusanya watu na kuzuia shughuli za uzarishaji mali ili iweje?

Nini maana ya mkutano wa hadhara kwa Rais wa nchi? dhumuni hasa ni nini?
 
Alaa hao tuu ndio wanaweza kujaza uwanja 😂😂
Zamani huko nchi za ulaya mashariki madictator wao nao walikuwa wanakusanya watu wengi kwenye mikutano yao ili kuhadaa umma na dunia kuwa wanakubalika sana na wananchi wao. Lakini wingi ule ulikuwa unafanyika kwa vitisho, hongo na ghiliba nyingine za aina hiyo. Na kwa sasa ccm wamecopy tabia zilezile katika kupata mafuriko fake.
 
Leo ijumaa siku ya kazi unakusanya watu na kuzuia shughuli za uzarishaji mali ili iweje?

Nini maana ya mkutano wa hadhara kwa Rais wa nchi? dhumuni hasa ni nini?
Wananchi wamefunga shughuli zao kwa hiyari yao wenyewe ili wakamlaki na kumpokea na kisha kumsikiliza Rais wao kipenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…