OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
kwa hiyo kama jiwe aliteua? we unaona jiwe ni rais wa maana sana mpaka umtumie kama mfano?Mbona Jiwe aliwahi teua mama Mganda kushika nafasi nyeti kesho yake jion akatengua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hiyo kama jiwe aliteua? we unaona jiwe ni rais wa maana sana mpaka umtumie kama mfano?Mbona Jiwe aliwahi teua mama Mganda kushika nafasi nyeti kesho yake jion akatengua.
Wanao cremishaga ma vitu mengi kichwani wengi huwa wana matatizo ya akili wewe na huwa wako chini ya kumeza madawa ooohHuyu sidhani hata kama anaweza ku memorize cv za wateule wake na kuzisema wakati wakuwaapisha kama alivyokua anafanya jiwe
Mkuu Kuna Mzee mmoja yuko Serikali aliniambia Mama yetu ana watu wabaya nyuma wanaomshaurI akaniambia ikiwemo msoga nikamkatalia akaniambia sawa subiri utaonaGOD IS GREAT, GOD IS THE GREATEST...
anaweza hata asifike huyu ana habati tu mle bungeni hakuna vitasa kama Lissu, Lema, Msigwa, HecheNi Imani yangu madam hatogombea 2025
Kuna wakat huwa nawaza hata moderators tulionao hata Maxence Melo naye hakufanya vetting ya kutosha Kuna nyuz nzuri za kushaut taifa lisonge mbele wao wanatia ndani ya commentsJF walikoosea sana kuunganisha ule uzi kwani hili lilikuwa ni jambo sensitive sana la kujadiliwa kwenye uzi wa kujitegemea
Tatizo wanaompelekea majina ni UVCCM,idara ya usalama imejaa UVCCM vijana wasio na weledi wenye kulinda maslahi yao kwa manufaa yao,walizoea kubebana na wanaendelea kubebanahata Kigogo kasema huyu alikuwa DSO , kada wa CCM sasa haya mambo ta TPDC wapi nawapi? Samia analetwa mezani bila yeye kufanya personal scrutiny... kuna hatari mbele iakuja.. tena kubwa
Raisi wetu ni msikivu baada ya kujua Kuna mistake akarekebisha haraka, hyo huwa ni kupitiwa tu kikazi.Jamaa kawa boss kwa usiku mmoja[emoji1787] waliopeleka jina nao washanyolewa bila maji[emoji2163][emoji2162]
Binafsi bado nampongeza Rais SSH kwa maamuzi ya haraka na sahihi kutengua huo uteuzi
Watu hawafanani kila kitu mkuu.Huyu sidhani hata kama anaweza ku memorize cv za wateule wake na kuzisema wakati wakuwaapisha kama alivyokua anafanya jiwe
Vimemo tatizoWanamzonga muno, wamwache apumue kwanza
kwani walishauri humu kuhusu kumrudisha matagio?Ama kweli Mama anapitia JF. Hongera sana. Na KILIO CHA WAFANYAKAZI atakuwa amekiona, nadhani atashughulikia
Pamoja na kukariri kwake lkn kuongea ngeli ya sentensi iliyokamilika ilikua ni shughuli pevu kwake.Huyu sidhani hata kama anaweza ku memorize cv za wateule wake na kuzisema wakati wakuwaapisha kama alivyokua anafanya jiwe
MATAGA ni kama mmechanganyikiwa, baada ya kada Mwesiga kuteuliwa mlimtetea sana na mapovu juu leo katenguliwa mnapongeza tena.Na wanaompiga vita ni wa nje ya tpdc
Wana jambo lao hao
Tena jambo ovu
Hapa wakutafutwa Ni washika remote,kwakweli kwa hili mama hebu ajipe muda na yeye kufanya intelligences yake.Kwanini Rais anateua mtu ambaye hamjui vizuri na hana CV zake mezani? washauri wa Rais kwenye mambo ya uteuzi ni akina nani!?
Kwann mnafikiri kuwa ameangalia comment? Inaweza kuwa ni coincedence tu huenda alishapewa taarifa ya tatizo na watu wake ASAP baada ya kutangaza. Au labda palikuwa na technical error na watoa taarifa au uchapaji.Mama aachane na mitandao afanye kazi taratibu. Lakini sasa anateua anakimbilia kuchungulia comment za raia. Ina maana alikua haoni kabisa alichokua anafanya mtangulizi wake?
Atapotea...miluzi mingi hukuKweli mama yetu mitandao anaisoma, Na itamsaidia sana!