Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,129
- 7,321
Wanamzonga muno, wamwache apumue kwanzaWa awali namuunga mkono hapo ila mama anaonyesha udhaifu sasa. Atulie, alipelekewa teuzi asikimbilie kisaini ajipe muda kidogo kuzipitia hata wiki..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanamzonga muno, wamwache apumue kwanzaWa awali namuunga mkono hapo ila mama anaonyesha udhaifu sasa. Atulie, alipelekewa teuzi asikimbilie kisaini ajipe muda kidogo kuzipitia hata wiki..
Haaaaaamama yuko sharp ila aliyepenyeza hilo jina k anayoView attachment 1743826
Zaidi soma:
Vigogo watano akiwemo Mataragio wa Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC) wafikishwa Mahakamani kwa matumizi mabaya ya madaraka
Viongozi 5 wa Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC), wamefikishwa katika mahakama ya Kisutu, wakikabiliwa na shitaka la matumizi mabaya ya madaraka. Vigogo watano wa shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), akiwemo aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji, James Mataragio, wamepandishwa...www.jamiiforums.com
Rais Magufuli aiagiza Wizara ya Nishati kumrejesha kazini mara moja aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, Dkt. James Mataragio
Inaruhusiwa ili mradi afanyie kazi ushauri ili kupata informed data kwa maamuzi sahihi, ni nzuri to compare noticeMama aachane na mitandao afanye kazi taratibu. Lakini sasa anateua anakimbilia kuchungulia comment za raia. Ina maana alikua haoni kabisa alichokua anafanya mtangulizi wake?
Kumwacha apumie haiwezekani. Ndio rais na haya ndio maisha yake na ndio kwanza yameanza..Wanamzonga muno, wamwache apumue kwanza
sijaona kuaibika hapo. ni kubadilisha tu safuKwa hili mama anaonekana ni kivuli kuna wanaume wa shoka wapo nyuma yake wanamuongoza, since day one anaapa mama alionesha wazi viatu vya uraisi ni vikumbwa kwake...
Mama hawezi fanya maamuzi ona sasa anaabika kisa teuzi ndogo ndogo kama hizi...
Halafu teuzi nyingi za mama ni za kimehumko na kimajungu zaidi..
Mama hayuko makini.. kuna watu wanampeleka mchakamchaka wakijui bado hajatulia anawenge la kuwa rais an expectedly.huyu Rais siyo smart
Mbona Jiwe aliwahi teua mama Mganda kushika nafasi nyeti kesho yake jion akatengua.Hii kwangu inatosha kusema hatuna Rais hapa,ni mfano wa rais tu. Unawezaje kuteua mtu wa shirika nyeti kama lile bila kufanya vetting ambayo hata mteuzi mwenyewe lazima asome ripoti na cv pembeni.
yaaani mm mwenyewe namzidi. mtu hana international exposure, alipoenda mbali ni kufanya kazi UVCCM.[emoji3][emoji3][emoji3] bachelor ya evening class chuo Cha Yohana
Tuko naye miaka zaidi ya tisa mbele ya safari yake. Marekebisho mazuri tu atafanya ila kwa nafasi yake na kwa kupumua. Wamwache apumue kidogo, mwishowe watamkosesha. Mama yuko makini na ana nia njema sana tangu allipokuwa ni VPKumwacha apumie haiwezekani. Ndio rais na haya ndio maisha yake na ndio kwanza yameanza..
😀😀😀
Jamaa hatumbuliki aiseeWasiomtaka huyu mkurugenzi wana jambo lao
Ila mkurugenzi anaonekana kuwa clean kiasi cha kushindikana kutumbuliwa
huyu mama ana matatizo,kwanza nilihisi kitu siku ile katibu mkuu kiongozi anaapishwa,huyu mama alisema aliletewa jina na alikuwa hamfahamu??????huyu mama atatupeleka pabaya sana,mwanamke ni kiumbe dhaifu na nchi yetu hatupo tayari kwa sasa hivi kuongozwa na viumbe dhaifu,angemuuliza boss wake magu kwa nini alikaa miezi mitatu bila kuteua alikuwa na maana gani----
Wewe unajuaje kama CV ndo kitu pekee kilichopelekea kutengua uteuzi wake?Kwanini Rais anateua mtu ambaye hamjui vizuri na hana cv zake mezani? washauri wa Rais kwenye mambo ya uteuzi ni akina nani!?
Ni Imani yangu madam hatogombea 2025Kumwacha apumie haiwezekani. Ndio rais na haya ndio maisha yake na ndio kwanza yameanza..
😀😀😀
huyu mama lazima atapungua pia sitoshangaa akisema hagombei 2025..
Simple, anazipitia moja baada ya nyingine akiwa na wataalam wake wa HR...ajipe muda!Sioni umuhimu wa kuwa na haraka Sana ya kuteua, rais aende tu taratibu asikwepe jukumu la kupitia CV za watu taratibu, ni Bora achelewe kuteua Ila ateue watu sahihi ambao hata yeye kapitia CV zao Kwa umakini.
Naona kama kuna uharaka Sana wa kuteuateua ambao sijui unatokana na nini hasa.
Sio muda tunarudi kwenye utaratibu wa watu kununua vyeo vya teuzi na kuwa na madalali kabisa wa kuuza nyadhifa.
Mungu amsaidie rais aone haya mapema.