barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Inner circle yake awape adhabu kali, ili wajue wajibu wao!Kuna watu wana mpango wa kumfanya mama aonekane anakosea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inner circle yake awape adhabu kali, ili wajue wajibu wao!Kuna watu wana mpango wa kumfanya mama aonekane anakosea?
Hajui kama watu wana tengeneza mitandao yao yakuibaMama keshafahamu analishwa matango pori, mama awe makini team inayomzunguka kuna watu wanapanga safu zao asipoangalia 2025 atajikuta nje...
huyu mama ana matatizo,kwanza nilihisi kitu siku ile katibu mkuu kiongozi anaapishwa,huyu mama alisema aliletewa jina na alikuwa hamfahamu??????huyu mama atatupeleka pabaya sana,mwanamke ni kiumbe dhaifu na nchi yetu hatupo tayari kwa sasa hivi kuongozwa na viumbe dhaifu,angemuuliza boss wake magu kwa nini alikaa miezi mitatu bila kuteua alikuwa na maana gani----
May be haukuepoDuuu hii habari mpya kabisa haijawahi kutokea miaka yote mitano ya magufuli
Tatizo ana haraka sana kuifumua serikali kama hakuwa Makamu wa Rais....Au anatuaminisha kuwa alipokuwa anasema wanashirikishana kwenye Teuzi wakati wa JPM haikuwa KWELI.Hii kwangu inatosha kusema hatuna Rais hapa,ni mfano wa rais tu. Unawezaje kuteua mtu wa shirika nyeti kama lile bila kufanya vetting ambayo hata mteuzi mwenyewe lazima asome ripoti na cv pembeni.
uko sawa mkuu. huyu tumebahatika kumjua. inaweza kuwa kuna zero nyingine zingine hatujuiNashauri uapisho uahirishwe kwanza mpaka ajiridhishe, kwa Kila mtu aliyemteua kwa nafasi zote, je huyo mtu ana sifa za kuwa hapo. Mwingine anaweza kuwa na sifa nzuri sana, lakini kwa nafasi aliyepo hafit vizuri, unampangia upande mwingine anakofit zaidi. Mtazamo tu
Alikuwa amesema J4 mara pap Jpili katoa. Isiwe kuna mtu au watu wanampresurrize for personal gain. Wakijifanya ni washauri wake.......Wa awali namuunga mkono hapo ila mama anaonyesha udhaifu sasa. Atulie, alipelekewa teuzi asikimbilie kisaini ajipe muda kidogo kuzipitia hata wiki..
Wrong approach...Hakuna tatizo hapo so long alikuwa hajaapa, hizo zote ni mbinu za kupata watu sahihi kwa kupata public opinion, ameteua watu zaidi ya 40 lakini mmoja tu ndiyo kalalamikiwa objectively so uteuzi ni 98%correct.Piga kazi mama yetu
Kuna muda mwingine zaidi ya huu alionao?anakimbilia wapi?kwa nini asijipe muda?
Samia sawa na makocha wa simba na yanga,, yeye ana letewa watu tuWa awali namuunga mkono hapo ila mama anaonyesha udhaifu sasa. Atulie, alipelekewa teuzi asikimbilie kisaini ajipe muda kidogo kuzipitia hata wiki..
hata Kigogo kasema huyu alikuwa DSO , kada wa CCM sasa haya mambo ta TPDC wapi nawapi? Samia analetwa mezani bila yeye kufanya personal scrutiny... kuna hatari mbele iakuja.. tena kubwa
Hapo TPDC kuna vita kali dhidi ya Mataragio.Lakin Mungu yupo nae.View attachment 1743826
Zaidi soma:
Vigogo watano akiwemo Mataragio wa Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC) wafikishwa Mahakamani kwa matumizi mabaya ya madaraka
Viongozi 5 wa Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC), wamefikishwa katika mahakama ya Kisutu, wakikabiliwa na shitaka la matumizi mabaya ya madaraka. Vigogo watano wa shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), akiwemo aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji, James Mataragio, wamepandishwa...www.jamiiforums.com
Rais Magufuli aiagiza Wizara ya Nishati kumrejesha kazini mara moja aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, Dkt. James Mataragio
Ila ni lazima aitumie nguvu ambayo katiba inampa.Samia sawa na makocha wa simba na yanga,, yeye ana letewa watu tu
Kwenye maisha hutokea kupitiwa hata uwe makini kiasi gani aisee, hamna Yesu useme kitu kitakuwa perfectRais anasaini hivyo licha ya kupitia kama timu yeye pia lazima ajiridhishe, wakiboronga sio mzigo wa hiyo timu bali ni zigo lake.
Just Imagine Mapomole kama hawa tupo nao na wanajua kusoma na kuandika vizuri tuu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]huyu mama ana matatizo,kwanza nilihisi kitu siku ile katibu mkuu kiongozi anaapishwa,huyu mama alisema aliletewa jina na alikuwa hamfahamu??????huyu mama atatupeleka pabaya sana,mwanamke ni kiumbe dhaifu na nchi yetu hatupo tayari kwa sasa hivi kuongozwa na viumbe dhaifu,angemuuliza boss wake magu kwa nini alikaa miezi mitatu bila kuteua alikuwa na maana gani----