Rais Samia autengua uteuzi wa Mkurugenzi mpya wa TPDC. Amrejesha Mataragio

Rais Samia autengua uteuzi wa Mkurugenzi mpya wa TPDC. Amrejesha Mataragio

Mama keshafahamu analishwa matango pori, mama awe makini team inayomzunguka kuna watu wanapanga safu zao asipoangalia 2025 atajikuta nje...
Hajui kama watu wana tengeneza mitandao yao yakuiba
 
Lakini si anatakiwa jaman akafanye kikao na wafanyakazi cha kuwaaga au ndo hakanyagi kabisa [emoji1]
 
huyu mama ana matatizo,kwanza nilihisi kitu siku ile katibu mkuu kiongozi anaapishwa,huyu mama alisema aliletewa jina na alikuwa hamfahamu??????huyu mama atatupeleka pabaya sana,mwanamke ni kiumbe dhaifu na nchi yetu hatupo tayari kwa sasa hivi kuongozwa na viumbe dhaifu,angemuuliza boss wake magu kwa nini alikaa miezi mitatu bila kuteua alikuwa na maana gani----

Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake. Hongera Rosemarie kwa kuthibitisha hilo.

Mwanamke kiumbe dhaifu peke yako usiejiamini usijumuishe wote.

Nikupe mfano tu: Ellen Johnson Sirleaf, Mwele Malecela, Msuya wa UNEP...
 
Hapo kwa John Pombe Magufuli, he is not our hero, he is your hero!

Embu acha ukorofi mama D tujikite kwenye mada😎

Usijali huyo hero wangu niachie mimi na wengine

Nimeacha ukorofi kaka🙈🙈

SSH amefanya maamuzi sahihi sana, wana kitengo watakua washawajibishwa hadi sasa😃😃
 
JF ina nguvu sana kwa sasa ni bora na sisi tujitahidi kutoa hoja zisizo na ukada na ushabiki kiasi tuweze kusaidia katika maamuzi ya nchi..kudos Mh Rais kwa kusikia hoja zetu
 
Hii kwangu inatosha kusema hatuna Rais hapa,ni mfano wa rais tu. Unawezaje kuteua mtu wa shirika nyeti kama lile bila kufanya vetting ambayo hata mteuzi mwenyewe lazima asome ripoti na cv pembeni.
Tatizo ana haraka sana kuifumua serikali kama hakuwa Makamu wa Rais....Au anatuaminisha kuwa alipokuwa anasema wanashirikishana kwenye Teuzi wakati wa JPM haikuwa KWELI.
 
Nashauri uapisho uahirishwe kwanza mpaka ajiridhishe, kwa Kila mtu aliyemteua kwa nafasi zote, je huyo mtu ana sifa za kuwa hapo. Mwingine anaweza kuwa na sifa nzuri sana, lakini kwa nafasi aliyepo hafit vizuri, unampangia upande mwingine anakofit zaidi. Mtazamo tu
uko sawa mkuu. huyu tumebahatika kumjua. inaweza kuwa kuna zero nyingine zingine hatujui
 
Hakuna tatizo hapo so long alikuwa hajaapa, hizo zote ni mbinu za kupata watu sahihi kwa kupata public opinion, ameteua watu zaidi ya 40 lakini mmoja tu ndiyo kalalamikiwa objectively so uteuzi ni 98%correct.Piga kazi mama yetu
Wrong approach...
 
Hawezi kufanya uchambuzi wa watu wote wanaokuja mezani kwake.Badala ya kutaka yeye afanye uchambuzi ni bora raia watake mabadiliko ya kupatikana kwa viongozi katika utumishi wa umma.Rais abaki kuteua mabalozi, mawaziri, wakuu wa vyombo vya usalama, majaji(watakaopendekezwa na TLS pamoja na mahakama).
hata Kigogo kasema huyu alikuwa DSO , kada wa CCM sasa haya mambo ta TPDC wapi nawapi? Samia analetwa mezani bila yeye kufanya personal scrutiny... kuna hatari mbele iakuja.. tena kubwa
 
View attachment 1743826

Zaidi soma:

Rais Magufuli aiagiza Wizara ya Nishati kumrejesha kazini mara moja aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, Dkt. James Mataragio
Hapo TPDC kuna vita kali dhidi ya Mataragio.Lakin Mungu yupo nae.
 
Rais anasaini hivyo licha ya kupitia kama timu yeye pia lazima ajiridhishe, wakiboronga sio mzigo wa hiyo timu bali ni zigo lake.
Kwenye maisha hutokea kupitiwa hata uwe makini kiasi gani aisee, hamna Yesu useme kitu kitakuwa perfect
 
huyu mama ana matatizo,kwanza nilihisi kitu siku ile katibu mkuu kiongozi anaapishwa,huyu mama alisema aliletewa jina na alikuwa hamfahamu??????huyu mama atatupeleka pabaya sana,mwanamke ni kiumbe dhaifu na nchi yetu hatupo tayari kwa sasa hivi kuongozwa na viumbe dhaifu,angemuuliza boss wake magu kwa nini alikaa miezi mitatu bila kuteua alikuwa na maana gani----
Just Imagine Mapomole kama hawa tupo nao na wanajua kusoma na kuandika vizuri tuu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Hapa kimeumwa sio kuumana tena[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom