Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 18,042
- 19,787
Mama ni msikivu👏👏
Sana sanaaa msikivu sana aiseee mama yetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama ni msikivu👏👏
Mama aachane na mitandao afanye kazi taratibu. Lakini sasa anateua anakimbilia kuchungulia comment za raia. Ina maana alikua haoni kabisa alichokua anafanya mtangulizi wake?Hii ni dalili ya wazi kabisa kuwa mama ni mwepesi sana wa kudanganywa
Huko tuendapo si pazuri kabisa TPDC ni shirika ambalo 100% linadeal na mabeberu waliokomaa kwenye sector ya mafuta na Gas anakwwnda kumuweka kada wa UVCCM tena bila hata kuangalia CV yake hii ni hatari sana
That's point[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]Mama Samia anajua anachokifanya na wala hakurupuki, mpeni muda muone matunda yake...naamini atakua the best president of africa.
Imejaribu kupita Twitter?Ama kweli Mama anapitia JF. Hongera sana. Na KILIO CHA WAFANYAKAZI atakuwa amekiona, nadhani atashughulikia
Nilitarajia kitu kama hiki kutokea,mara baada tu ya kuwa nimeona CV ya mteule mpya. Kwa hiyo ni Mataragio tena kwa mara ya tatu sasa, na pengine hadi mpaka mwisho wa kipindi chote cha Mama, baada ya miaka kumi ijayo!View attachment 1743826
Zaidi soma:
Vigogo watano akiwemo Mataragio wa Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC) wafikishwa Mahakamani kwa matumizi mabaya ya madaraka
Viongozi 5 wa Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC), wamefikishwa katika mahakama ya Kisutu, wakikabiliwa na shitaka la matumizi mabaya ya madaraka. Vigogo watano wa shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), akiwemo aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji, James Mataragio, wamepandishwa...www.jamiiforums.com
Rais Magufuli aiagiza Wizara ya Nishati kumrejesha kazini mara moja aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, Dkt. James Mataragio
Yan ana turudisha miaka ishirin nyuma, mbelen hata kosa hela zakulipa mishaara, yeye hajui kama watu wamejipanga kuibahuyu mama ana matatizo,kwanza nilihisi kitu siku ile katibu mkuu kiongozi anaapishwa,huyu mama alisema aliletewa jina na alikuwa hamfahamu??????huyu mama atatupeleka pabaya sana,mwanamke ni kiumbe dhaifu na nchi yetu hatupo tayari kwa sasa hivi kuongozwa na viumbe dhaifu,angemuuliza boss wake magu kwa nini alikaa miezi mitatu bila kuteua alikuwa na maana gani----
Acha hizoAdui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake. Hongera Rosemarie kwa kuthibitisha hilo.
Mwanamke kiumbe dhaifu peke yako usiejiamini usijumuishe wote.
Nikupe mfano tu: Ellen Johnson Sirleaf, Mwele Malecela, Msuya wa UNEP...
Hili nilisema mwanzo kabisa Ogopa sana mtu anayepost kitu mitandaoni kwa kutaka like na postive feedback hakuna kiongozi yeyote anayeshinda mitandaoni akafanikiwa atakuwa anaongoza kwa pressure tu kwani mitandao imejaa watu ambao ni wapingaji wa kila kitu hili kuwaridhisha inabidi uende vile wanavyotaka soon tutaanza kuongozwa na mawazo wa Kigogo na wenzie huko mitandaoni .Mama aachane na mitandao afanye kazi taratibu. Lakini sasa anateua anakimbilia kuchungulia comment za raia. Ina maana alikua haoni kabisa alichokua anafanya mtangulizi wake?
Kwa yeye hawez na hawa jui wa bongo kama ni waongo wa nafiki na wapo kimaslai binafsiIla ni lazima aitumie nguvu ambayo katiba inampa.
FactHakuna tatizo hapo so long alikuwa hajaapa, hizo zote ni mbinu za kupata watu sahihi kwa kupata public opinion, ameteua watu zaidi ya 40 lakini mmoja tu ndiyo kalalamikiwa objectively so uteuzi ni 98%correct.Piga kazi mama yetu
Hiyo imani yako inatusaidiaje kwa mfanoMama Samia anajua anachokifanya na wala hakurupuki, mpeni muda muone matunda yake...naamini atakua the best president of africa.
Unauhakika Hana CV zakeKwanini Rais anateua mtu ambaye hamjui vizuri na hana cv zake mezani? washauri wa Rais kwenye mambo ya uteuzi ni akina nani!?