Rais Samia autengua uteuzi wa Mkurugenzi mpya wa TPDC. Amrejesha Mataragio

Rais Samia autengua uteuzi wa Mkurugenzi mpya wa TPDC. Amrejesha Mataragio

Hii ni dalili ya wazi kabisa kuwa mama ni mwepesi sana wa kudanganywa

Huko tuendapo si pazuri kabisa TPDC ni shirika ambalo 100% linadeal na mabeberu waliokomaa kwenye sector ya mafuta na Gas anakwwnda kumuweka kada wa UVCCM tena bila hata kuangalia CV yake hii ni hatari sana
Mama aachane na mitandao afanye kazi taratibu. Lakini sasa anateua anakimbilia kuchungulia comment za raia. Ina maana alikua haoni kabisa alichokua anafanya mtangulizi wake?
 
View attachment 1743826

Zaidi soma:

Rais Magufuli aiagiza Wizara ya Nishati kumrejesha kazini mara moja aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, Dkt. James Mataragio
Nilitarajia kitu kama hiki kutokea,mara baada tu ya kuwa nimeona CV ya mteule mpya. Kwa hiyo ni Mataragio tena kwa mara ya tatu sasa, na pengine hadi mpaka mwisho wa kipindi chote cha Mama, baada ya miaka kumi ijayo!
 
huyu mama ana matatizo,kwanza nilihisi kitu siku ile katibu mkuu kiongozi anaapishwa,huyu mama alisema aliletewa jina na alikuwa hamfahamu??????huyu mama atatupeleka pabaya sana,mwanamke ni kiumbe dhaifu na nchi yetu hatupo tayari kwa sasa hivi kuongozwa na viumbe dhaifu,angemuuliza boss wake magu kwa nini alikaa miezi mitatu bila kuteua alikuwa na maana gani----
Yan ana turudisha miaka ishirin nyuma, mbelen hata kosa hela zakulipa mishaara, yeye hajui kama watu wamejipanga kuiba
 
Ni sahihi kutokufanya kila kitu mwenyewe. Hapa sasa kamati iliyoteua majina inaweza wajibishwa na udhaifu umeonekana haraka na kupigiwa kelele.

Angekuwa yeye ndo anafanya kila kitu makosa yake hayarekebishiki mpaka maafa maana maamuzi kayafanya mwenye nchi na ndo final.

Hili tatizo lilionekana sana kwa awamu iliyopita. Once raisi kafanya maamuzi hakuna wa kutengua maana yeye alishaamua na ndo raisi. Watu watanyamaza na wanafiki watasifia mpaka tatizo litokee.
 
Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake. Hongera Rosemarie kwa kuthibitisha hilo.

Mwanamke kiumbe dhaifu peke yako usiejiamini usijumuishe wote.

Nikupe mfano tu: Ellen Johnson Sirleaf, Mwele Malecela, Msuya wa UNEP...
Acha hizo
 
Mama aachane na mitandao afanye kazi taratibu. Lakini sasa anateua anakimbilia kuchungulia comment za raia. Ina maana alikua haoni kabisa alichokua anafanya mtangulizi wake?
Hili nilisema mwanzo kabisa Ogopa sana mtu anayepost kitu mitandaoni kwa kutaka like na postive feedback hakuna kiongozi yeyote anayeshinda mitandaoni akafanikiwa atakuwa anaongoza kwa pressure tu kwani mitandao imejaa watu ambao ni wapingaji wa kila kitu hili kuwaridhisha inabidi uende vile wanavyotaka soon tutaanza kuongozwa na mawazo wa Kigogo na wenzie huko mitandaoni .
 
Mama kabla ya kuwaapisha hao wengine, yampasa sasa apitie upya yeye mwenyewe wasifu wa kila mmoja...
 
To be fair jamaa hana cv ya kumtosha kua pale.
 
Hakuna tatizo hapo so long alikuwa hajaapa, hizo zote ni mbinu za kupata watu sahihi kwa kupata public opinion, ameteua watu zaidi ya 40 lakini mmoja tu ndiyo kalalamikiwa objectively so uteuzi ni 98%correct.Piga kazi mama yetu
Fact
 
Asante mama kwa kutumbua hiyo kada ya ccm, ila Mh. Rais kuwa makini la sivyo wahafidhina wa ccm watakupoteza!Jiridhishe pia na yule mpwa wetu!
 
Back
Top Bottom