Hii ni dalili ya wazi kabisa kuwa mama ni mwepesi sana wa kudanganywa
Huko tuendapo si pazuri kabisa TPDC ni shirika ambalo 100% linadeal na mabeberu waliokomaa kwenye sector ya mafuta na Gas. Anakwenda kumuweka kada wa UVCCM tena bila hata kuangalia CV yake hii ni hatari sana...
Kuna haja gani ya sasa hv kuanza kuteua na kutengua? amepata wapi muda wa kukaa na kujua huyu ni safi huyu si safi kwa siku hizi chache baada ya msiba? wakati serikalini yeye alikuwa msaidizi number 1 wa JPM ni sawa baba kafa hata matanga hayajaisha unaona mama anaanza kugawa mali na kufanya mabadiliko haraka haraka kwenye nyaraka .
Mama alikuwa msaidizi na mashauri number moja wa mzee kama kiapo chake kinavyosema anatamshauri Rais kwa hekima na hvyo tunapata kujua wote walioteuliwa bhasi kwa namna moja ameshiriki ktk uteuzi wake sasa inakuwaje tena hata siku 21 jazijapita anaanza kutengua na kuweka watu wengine amepata wapi muda wa kucheki vzr CV na amewafanyia vetting watu hao saa ngapi? Wkt msiba tumezika juzi tu ???ina maana wkt sisi tunalia na kujipanga mabarabarani yeye anapanga safu yake ?mmmh
Huko tuendapo si pazuri kabisa TPDC ni shirika ambalo 100% linadeal na mabeberu waliokomaa kwenye sector ya mafuta na Gas. Anakwenda kumuweka kada wa UVCCM tena bila hata kuangalia CV yake hii ni hatari sana...
Kuna haja gani ya sasa hv kuanza kuteua na kutengua? amepata wapi muda wa kukaa na kujua huyu ni safi huyu si safi kwa siku hizi chache baada ya msiba? wakati serikalini yeye alikuwa msaidizi number 1 wa JPM ni sawa baba kafa hata matanga hayajaisha unaona mama anaanza kugawa mali na kufanya mabadiliko haraka haraka kwenye nyaraka .
Mama alikuwa msaidizi na mashauri number moja wa mzee kama kiapo chake kinavyosema anatamshauri Rais kwa hekima na hvyo tunapata kujua wote walioteuliwa bhasi kwa namna moja ameshiriki ktk uteuzi wake sasa inakuwaje tena hata siku 21 jazijapita anaanza kutengua na kuweka watu wengine amepata wapi muda wa kucheki vzr CV na amewafanyia vetting watu hao saa ngapi? Wkt msiba tumezika juzi tu ???ina maana wkt sisi tunalia na kujipanga mabarabarani yeye anapanga safu yake ?mmmh