BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Ana shida kubwa sana huyo jamaa
Nashindwa kumuelewa, alafu anaongea kwa chuki kana kwamba imemchoma sana kuwa president huyu mama.
Achukie asichukie ndio raisi wetu na ikiwezekana tutampa ten years mingine