hauwezi ukawajua watu wote maana majukumu ni mengi mkuu.....hata hao washauri hawawezi wajua watu wote......amepata taarifa isiyo sahihi na ameitafiti na kuibadilishaKwanini Rais anateua mtu ambaye hamjui vizuri na hana CV zake mezani? washauri wa Rais kwenye mambo ya uteuzi ni akina nani!?
subiri mimi niwe rais ndio utajua rais anatakiwa kuweje,sawa?!wewe endelea kuimba mapambio tuKuwa raisi ww basi!! Una la ziada au, ni wale wale kama mm huna la ziada zaidi ya kuwa nyuma ya keyboard kukosea watu ma raisi??? Raisi wa mfano no yupi, au tusiburi uwe wewe wa mfano!! You dont have to be against everything and everyone!! Binadamu makosa ni kawaida, na kama ameweza kurekebisha asubuhi nadhan ni jambo zuri!! Tunasubir wewe uje kuwa raisi wa mfano😉
Huyu uraisi aupatie wapi Yuko negative kwa kila Jambo yeye mwenyewe maisha ukute yamemshindaKuwa raisi ww basi!! Una la ziada au, ni wale wale kama mm huna la ziada zaidi ya kuwa nyuma ya keyboard kukosea watu ma raisi??? Raisi wa mfano no yupi, au tusiburi uwe wewe wa mfano!! You dont have to be against everything and everyone!! Binadamu makosa ni kawaida, na kama ameweza kurekebisha asubuhi nadhan ni jambo zuri!! Tunasubir wewe uje kuwa raisi wa mfano[emoji6]
Unaijua cv ya fransis kumba ndulane wewe au unahisi kasoma evening classes,usifananishe kushindwa kuapa na kuteua mtu kisa aliwahi kuwa mbunge UDOMHapa mwenyewe inawezekana umekurupuka maana hujui tatizo lilikuwa kwenye uteuzi au uwasilishwaji wa taarifa. Hili suala lilishamtokea JPM pia akatengua uteuzi, kuna yule alishindwa kuapa.
Mfumo wa vetting kwenye utumishi wa umma uangaliwe upyaKwani vetting hakuna siku hizi mbona mambo mengi yanafanywa kwa pupa
Wameshaanza kuuza nafas , kama wewe una pesa ukitoa jina lako linafika mezan kwa mamaKazi yake si ndo iyo kwa nini awe na papara? Yaani akose muda wa kupitia haya cv 40! Ina maana analetewa majina idadi kamili!! Maajabu sana
Inaonekana mama anakurupuka katika uteuzi zake. Washauri wake wamshauri atulie awajue watu vizuri, unateua usiku asbh unatengua hii ni ishara kwamba hakuna vetting iliyofanywa, rais ni taasisi kubwaKwanini Rais anateua mtu ambaye hamjui vizuri na hana CV zake mezani? washauri wa Rais kwenye mambo ya uteuzi ni akina nani!?
Rais ana nafasi ZAIDI ya 200 za kuteua kwa kada mbalimbali kwa mtazamo wako unaweza ukawajua hawa watu wote inside out?? sio kukurupuka na kusema kirahisi tu eti "anakurupuka kwenye teuzi"Naona Mama kashajipunguzia marks mbili za ubora, kwamba anakurupuka uteuzi
ATULIZANE!
Hata jina lake samia maana yake usikivu huo huoMama ni msikivu👏👏
Sifananishi, SSH si JPM. Hata ukosoaji tu unaonyesha hilo.Unaijua cv ya fransis kumba ndulane wewe au unahisi kasoma evening classes,usifananishe kushindwa kuapa na kuteua mtu kisa aliwahi kuwa mbunge UDOM
Iweke hapa cv yake.Sawa kabisa. Nilikuwa napitia uzi wa The Boss kuhusu hili, nikatafuta cv yake nikabaki mdomo wazi. Hafai.
Tumpe muda atengue tena au?
Sasa hao waliomtoa jana ndio hao hao majizi. Ndio wa kuwnza nao.Hii sector ya mafuta ndo kuna wizi na ufisadi wa kutisha... ambao hata watu wazito wapo .....
Huyu sio mara ya kwanza wanafanyia zengwe na kumtoa. Last time alifanyiwa fitna akatolewa, wekwa ndani mpk funguliwa mashtaka ya kutengeneza... hadi JPM aliposhtuka na kuagiza arudishwe ktk Cheo chake mara moja !!
Ni wazi jamaa ni kikwazo watu kuendelea kukwapua. Yeye hana njaa ndo maana aliacha mabilioni huko nje kuja kuitumikia nchi yake...
Majizi hayapendi watu kama hawa na ndo hayo hayo pia na akina Kakoko wanaharibu flowmeters za udhibiti wa mafuta yanayoingizwa ili wapige.
Madame Prez toa agizo kule Bandarini ifanyike auditing ya report za flow meters zote hasa ile ya mwanzo kigamboni uone madudu ya mafuta kiasi gani wamekuwa yakiibiwa, au kupokelewa machafu, na jinsi walivyochokonoa ili kuharibu data !
Huyo kakuku ni mtu hatari sana....husimwache kabisa...
Makosa makubwa sana ana fanya yeye alikuwa msaidiz wa magufur kitu gani kina mfanye apangue timu kwa pupa naamin maamuz anayo fanya siyo ya kwake,, yeye ange watoa kidogo tena kwa uzembe na wiz sasa yeye ana tengua tu, angekuwa mpizani tusinge shangaa.Naona anafanya Ili kupata attention ya watu. Mambo muhimu kama hayo ikitakiwa yaende taratibu,mpaka kufikia October angekuwa kamaliza kupachika watu wake,ila huku kukurupuka kwakwe atakuja kufeli.
Kuna Watu Wanamhujumu Mh.Rais kumpelekea Majina ya Makada wasio na SIFAView attachment 1743826
Zaidi soma:
Vigogo watano akiwemo Mataragio wa Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC) wafikishwa Mahakamani kwa matumizi mabaya ya madaraka
Viongozi 5 wa Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC), wamefikishwa katika mahakama ya Kisutu, wakikabiliwa na shitaka la matumizi mabaya ya madaraka. Vigogo watano wa shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), akiwemo aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji, James Mataragio, wamepandishwa...www.jamiiforums.com
Rais Magufuli aiagiza Wizara ya Nishati kumrejesha kazini mara moja aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, Dkt. James Mataragio
Kuwa na vyeti sio kuongoza sometimes nawe uwe unafikiri kidogoHii kwangu inatosha kusema hatuna Rais hapa,ni mfano wa rais tu. Unawezaje kuteua mtu wa shirika nyeti kama lile bila kufanya vetting ambayo hata mteuzi mwenyewe lazima asome ripoti na cv pembeni.