Kwa kiasi fulani hapa asitetewe, tumpongeze kafanya maamuzi ya haraka kutengua ila kama anamwaga tu wino bila kupitia na kujiridhisha atakuja kutuuza kama nchi bila yeye kujua..
Kwa hili mama anaonekana ni kivuli kuna wanaume wa shoka wapo nyuma yake wanamuongoza, since day one anaapa mama alionesha wazi viatu vya uraisi ni vikubwa kwake...
Mama hawezi fanya maamuzi ona sasa anaabika kisa teuzi ndogo ndogo kama hizi...
Halafu teuzi nyingi za mama ni za kimehumko na kimajungu zaidi..
Hao viongozi wamekuwa wakitumia nguvu nyingi kupambana na social media, wamekuwa wakitolea ufafanuzi juu ya tuhuma na tetesi zinazoibuliwa na social media.We unauhakika gani kama anasomo upuuzi uliomo humu kamtengua kwa sababu zake anazijua mwenyewe wala usivimbe macho kwa madai eti kasoma madai ya watu wa jf.
Obvious she is on direction against anything of the hero. But wanyonge told her she should do as the hero. Since when you change the winning team without consequences ?Seems someone has the remote somewhere.Panga pangua, labda huyu anajua kula na vigogo wenzake. I can’t believe kila siku tunaapishana what a joke! Panga pangua wakati wa maombolezo huo ni uafrika kweli? She was part of the leadership, so she never okd JPMs appointments? They couldn’t wait 21 days???
Hahahaha
Kuwa MATAGA lazima akili ziwe zimelegea
Yani we jamaa banah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pamoja na kukariri kwake lkn kuongea ngeli ya sentensi iliyokamilika ilikua ni shughuli pevu kwake.
Alikua anajua tu Boiling point of Copper and catalyst..
Sasa Mwesiga atarudi alikokuwa au? sababu kutangazwa kuwa unaenda mahali fulani maana yake nafasi yake iko wazi alikokuwa sasa kama ametangazwa kutenguliwa bandari maana yake kibarua hana koteDuh hii inauma sana hata kiapo bado na ofisini haujakanyaja, unatenguliwa.
Kila la kheri bwana Mwesiga, maisha lazima yaendelee. Hili litapita tu.
Doa gani?Hii imemtia doa kubwa MSSH
CV yake ni ya kawaida sanaaaa kila mtu alishangaa kachaguliwajeKwanini Rais anateua mtu ambaye hamjui vizuri na hana CV zake mezani? washauri wa Rais kwenye mambo ya uteuzi ni akina nani!?
hahahaaaAsante kwa taarifa,namshauri Mh SSH atulie kwanza maana anavyofanya anaweza akajitengua hadi yeye.
Hahaha huo wasifu wake uko wapi?[emoji3][emoji3][emoji3] Ile CV ilikuwa nyeupe ka unyoya wa kunguru aisee, Mara degree chuo Cha Yohana, hata huko udom, itakuwa alibebwa tu. Aliyefanya uhuni kupenyeza Hilo jina kumharibia Raisi afukuzwe aisee