Rais Samia autengua uteuzi wa Mkurugenzi mpya wa TPDC. Amrejesha Mataragio

Siwaufanye chuu mchakato kuwa transparent zaidi ya sasa kuepuka madudu
 
..Magufuli alikuwa anaingilia hizi process na madhara yake tumekuja kuyaona kwa Mama Samia Hassan.
Nilishtuka sana mwaka 2015 mwezi wa 12 nilipoona jina la Doto Mgosha James kuwa naibu katibu mkuu wizara ya fedha.

Alipanda kutoka kuwa Transport Economist TANROADS to deputy permanent secretary alipata uzoefu wa miezi sita kupanda kuwa katibu mkuu.

Nafasi ya katibu mkuu hazina ndio injinia mkuu ya uchumi wa nchi.
 
Kuna tatizo linakuja huko mbele. mama hteui mwenyewe, analetewa bila yeye mwenyewe kufabya scrutiny!
Ninaweza kukubaliana nawe.

Awe mwangalifu sana na 'trend' hii.

Kwani ana haraka gani, ya kwenda wapi?
 
Cariha,
Ushauri wangu kwako ombea sana Ikulu ya mama Sameer na hao wanawake wenzio wenye roho mbaya na wivu wa kike.....otherwise yajayo yanasikitisha!!!
Mimi namuombea Sana mama na Nina Imani naye atatuvusha salama, vizabina zabina vya kuchomekea vitu ili aonekani hafai watashindwa, na wengi Wana mchukulia poa poa, ngoja ale vichwa kazaa akili iwakae sawa, watatulia.
 
[

Mama alipoapishwa tu wananchi wakaanza kelele za aunde baraza lake.

Wengine PM aondolewe kwa kusema uongo na wengine PM abaki maana ndio atamsaidia sana kwa sasa.

TLS wakasema avunje cabinet na wengine wakasema haina haja.

Wengine huyu anafaa wengine yule hafai.

Mama akawasikiza kwa sikio sikivu na akafanya what was necessary.

Leo mnaanza kuhoji kwamba ana haja gani ya kuanza kuteua na kutengua now??????

Mama atafika kipindi atakuwa haskilizi kelele zenu mtaanza tena kulaumu.

Wanaadam aiseeeeeee
 
Baadaye ilikuja kujulikana hiyo ilikuwa kesi ya kubambikiwa na wale waliyokuwa chini. Ikumbukwe kuwa huyu alikuwa anafanya kazi USA kwenye kampuni kubwa ya madini. Katika CV alifanya utafiti mwingi wa madini na maandiko yake yanatumika saana kwenye sekta ya madini. Ilipotangazwa kazi akiwa USA aliomba na kupata. Hii iliwakasirisha wakurugenzi wa hilo shirika hasa pale alipoua mbinu zao za udokozi. Hiyo kesi iliiondolewa na serkali kwa aibu baada ya TAKUKURU kuthibitisha ilikuwa kesi ya kusingiziwa na wivu.
 
Acha kumwita dhaifu kisa teuzi aisee, eti hauko tayari, kweli jamii yetu ina Perception mbaya kwa wanawake mbona hata magufuli aliingia Chaka na kurekebisha. Makosa ni sehemu ya ubinadamu ndio maana yanarekebishika
Hawa watu wanakera kwa kweli
 
umeharibu hapo ulipomtaja jafo, huyu hamna kitu kichwani anabebwa na kujipendekeza tu...ni mwepesi kama unyoya wa kuku!
huyu ni sawa kabisa na jenista mhagama



Sikiliza hapo Jaffo alikuta target ya makusanyo TAMISEMI ni 900bn na ukusanyaji upo kwenye 50-60% ndani ya muda wake amefikia 94% hiyo ni pamoja na ku introduce system za kulinda mapato na kupambana kweli watu kuzifuata.

Huyo waziri mpya anakwambia target ya 900bn ni ndogo inabidi iongezwe na waongeze percentage ya makusanyo. Sasa sijui mwenzetu kuna vyanzo vipi vipya atapendekeza au anambinu gani kuhakikisha makusanyo yanaingia kwenye vitabu.

Kabla ya kumkosoa Jaffo waziri Mwalimu atueleze improvement ya performance indicator yoyote anayojivunia wizara ya afya ndani ya muda wake.

Sasa huko TAMISEMI kunahitajika jicho la mwewe kwenye usimamizi wa miradi ili kupata value for money, maswala ya project delays ni jambo la kawaida, zabuni wanazopewa unqualified contractors ni tatizo.

Ni hivi TAMISEMI ni wizara ngumu kushinda yoyote. Uwezi mfananisha Jaffo na Jenista walau huyo Jenista anabahati apewi wizara ambazo usimamizi wake ukiwa legelege wanaoumia ni wananchi walio wengi moja kwa moja na ndio maana no one cares about the woman so much.

Ila Ummy Mwalimu ndio anabahati mmbaya kutwa anatupiwa mzigo usio size yake. Magufuli alimuacha mahala poa dada wa watu apate amani; mama kamrudisha tena mahala pa kuzodolewa.

Hapo TAMISEMI majibu yake utayapata bunge la mwisho wa mwaka wabunge watavyoleta malalamiko ambayo yalishaanza kupungua chini ya Jaffo.
 

..alisimamishwa kazi na bodi ya wakurugenzi ya Tpdc.

..bodi hiyo mwenyekiti aliteuliwa na Jpm, na wajumbe waliteuliwa na waziri wa nishati.

..kama Magufuli aliona bodi imekosea kumsimamisha DG, na akaamua kumrejesha kazini, alitakiwa aivunje na kuteua wengine.
 
Mama ni dhaifu. Tunamuheshimu kwa kutumia lugha laini eti mama. La sivyo tungempa za uso. Ajirekebishe haraka na kuuvaa urais ipasavyo.
 
Kuna muda mwingine zaidi ya huu alionao?
Tatizo letu UmuchKnow mwingi sana Wabongo.

Kila kitu tunajifanya tunajua alafu we c ndo unelalamika ile thread juu ya huyu jamaa mbona tena hauridhiki au ulitaka uchaguliwe wewe[emoji3][emoji3][emoji3]
Mkuu umenena!

Yaani Sisi kila kitu tunajua. Hatari sana
 
Kwanini wapendekezwe na TLS na Mahakama???
 
Unapoomba cheo au nafasi sehemu yeyoye lazime uwe na vision yako mwenyewe kama wewe mama na JPM walikuja kwa wananchi kuomba tuwape nafasi ya kutuongoza kwa miaka mingine mitano wakiwa na mission na vision yao wapi ,kipi watafanya kwa nchi ktk kipindi cha miaka mingine 5 sasa unapooniambia kuwa kila wanalosema watu wa mitandaoni ambao ni kama 7% ya watanzania wote milioni 60 tena hasa walio Twitter hambao hawafiki hata 2% ya watanzania wote wanachosema anatakiwa kufanya bhasi tujue tupo hatarini sana kama kiongozi atakuwa anasikiliza watu wa mitandaoni bila yeye mwenyewe kuwa na mission au vision yake na kutegemea comment za mitandaoni kuendesha nchi.
 
Hapo uliposema hatukuwa na ujirani mwema na Kenya ndio umegusa. Ina maana kwa kauli ile ya raisi Kenyatta huo ugomvi unaosemwa ni nadharia tu za mitandaoni.

Pamoja na trade wars zetu za kila siku. Kenya wakiwa heavily dependants wa raw material za Tanzania mpaka kesho Raisi alielewa road map ya Magufuli kwa wakulima wa Tanzania na agenda zake za kulinda resources.

Mama should stick to the plan. Sio lazima atumie mbinu za mtangulizi wake kufikia malengo. Nonetheless she should follow what worked (don’t mend it, if it’s not broken) and that includes sticking by people who can deliver results and their performance is measurable.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…