Kama alivyosema mwenyewe, mtamkumbuka Magu. Hivi rais akivuruga mambo ya nchi bunge halina uwezo wa kumtimua?!huyu mama ana matatizo,kwanza nilihisi kitu siku ile katibu mkuu kiongozi anaapishwa,huyu mama alisema aliletewa jina na alikuwa hamfahamu??????huyu mama atatupeleka pabaya sana,mwanamke ni kiumbe dhaifu na nchi yetu hatupo tayari kwa sasa hivi kuongozwa na viumbe dhaifu,angemuuliza boss wake magu kwa nini alikaa miezi mitatu bila kuteua alikuwa na maana gani----
Kwa asilimia kubwa ni panguapangua na kiini macho, ila watumishi wengi na walewale tu.hapa sawa kabisa. N vetting was done. Ni kuteua kwa ushauri wa CCM, bado remnants za jiwe zinatake influence
Tutazunguka sana, lakini mie nafikiri, dosari nyingi zitaendelea ku kutokea kutokana na katiba tuliyonayo,au sheria au mifumo yetu mibovu, km. Mamlaka za teuzi, vetting systems, nk. ambazo zitahitaji marekebisho in long run......Rais ana nafasi nyingi sana za uteuzi.Ambao anaweza kuwafahamu ni wachache sana. Ndio maana iko haka kubwa ya kuwa na mfumo mpya wa kupata viongozi. Rais abaki kuteua mawaziri,mabalozi na wakuu wa vyombo vya usalama.
#Hapa Kazi Tuu
GOD IS GREAT, GOD IS THE GREATEST...GOD IS GREATEST
Kama nduguye?? Maana wanatoka mkoa mmoja na aliyekula mshahara mmojaJf mna nongwa why msimuache kijana apate walau mshahara mmoja?
Kazi yake si ndo iyo kwa nini awe na papara? Yaani akose muda wa kupitia haya cv 40! Ina maana analetewa majina idadi kamili!! Maajabu sanaHawezi kufanya uchambuzi wa watu wote wanaokuja mezani kwake.Badala ya kutaka yeye afanye uchambuzi ni bora raia watake mabadiliko ya kupatikana kwa viongozi katika utumishi wa umma.Rais abaki kuteua mabalozi, mawaziri, wakuu wa vyombo vya usalama, majaji(watakaopendekezwa na TLS pamoja na mahakama).
Ana shida kubwa sana huyo jamaaYani wewe unaonyesha dhahiri unamchukia huyu mama...acha roho ya hivyo wewe dada. Anaemchukia huyu mama atakua na lake jambo sio bure....kuna maraisi wengi tu wameongoza nchi zao tena vizuri kabisa, raisi mstaafu wa Argentina alikua the women Isabel Martinez de peron na ameweza.
Full List
Tatizo lenu mnaona kitu cha ajaabu huyu mama kuongoza nchi, anaweza akawa bora zaidi ya maraisi wote waliopita na tukumuongezea mihula mingine.
Women in Charge
- Helle Thorning-Schmidt, Prime Minister of Denmark
- Yingluck Shinawatra, Prime Minister of Thailand
- Angela Merkel, Chancellor of Germany
- Cristina Fernández de Kirchner, President of Argentina
- Dilma Rousseff, President of Brazil
- Julia Gillard, Prime Minister of Australia
- Ellen Johnson Sirleaf, President of Liberia
- Sheik Hasina Wajed, Prime Minister of Bangladesh
- Johanna Sigurdardottir, Prime Minister of Iceland
- Laura Chinchilla, President of Costa Rica
- Tarja Halonen, President of Finland
- Dalia Grybauskaite, President of Lithuania
- Kamla Persad-Bissessar, Prime Minister of Trinidad and Tobago
Umesahau siku ya mazishi ya hayati kuna mtu aliahidi mbele ya umati kuwa atakwenda kumuona ofisini?. Anazo sababu za msingi za kufanya hivyoTatizo ana haraka sana kuifumua serikali kama hakuwa Makamu wa Rais....Au anatuaminisha kuwa alipokuwa anasema wanashirikishana kwenye Teuzi wakati wa JPM haikuwa KWELI.
Naona anafanya Ili kupata attention ya watu. Mambo muhimu kama hayo ikitakiwa yaende taratibu,mpaka kufikia October angekuwa kamaliza kupachika watu wake,ila huku kukurupuka kwakwe atakuja kufeli.hata Kigogo kasema huyu alikuwa DSO , kada wa CCM sasa haya mambo ta TPDC wapi nawapi? Samia analetwa mezani bila yeye kufanya personal scrutiny... kuna hatari mbele iakuja.. tena kubwa
Mimi nahisi watu walichomekea Hilo jina na CV yake isiyoeleweka ili kumharibia Raisi aisee kwa makusudi kabisa. Mazaa awe makini sanayaaani mm mwenyewe namzidi. mtu hana international exposure, alipoenda mbali ni kufanya kazi UVCCM.
hii ilikuwa big mistake
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] jamani unateuliwa usiku asubuhi unatumbuliwaMwesiga kavunja rekodi ya Bashiru! Namwona Daktari akitabasamu.....
Hiyo imani yako inatusaidiaje kwa mfano
Mimi nahisi watu walichomekea Hilo jina na CV yake isiyoeleweka ili kumharibia Raisi aisee kwa makusudi kabisa. Mazaa awe makini sana
Duh..Kweli mama yetu mitandao anaisoma, Na itamsaidia sana!