Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,518
- 6,506
Naona Mama kashajipunguzia marks mbili za ubora, kwamba anakurupuka uteuzi
ATULIZANE!
ATULIZANE!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasikiliza kilio cha wananchi huo ndiyo uongozi makini.Mama awe makini naye
Wewe si smart zaid yake, kuwa Rais sasa.huyu Rais siyo smart
Moderator wajibikeni,fukuza aliyeficha uziJF walikoosea sana kuunganisha ule uzi kwani hili lilikuwa ni jambo sensitive sana la kujadiliwa kwenye uzi wa kujitegemea
Kwanini Rais anateua mtu ambaye hamjui vizuri na hana cv zake mezani? washauri wa Rais kwenye mambo ya uteuzi ni akina nani!?
Kuna watu kwenye kitengo cha ushauri inabidi watumbuliwe.Kwanini Rais anateua mtu ambaye hamjui vizuri na hana cv zake mezani? washauri wa Rais kwenye mambo ya uteuzi ni akina nani!?
Kashajifunza na inabidi awape karipio waliomuingiza chakaKuna tatizo linakuja huko mbele. mama hteui mwenyewe, analetewa bila yeye mwenyewe kufabya scrutiny!
Hii kwangu inatosha kusema hatuna Rais hapa,ni mfano wa rais tu. Unawezaje kuteua mtu wa shirika nyeti kama lile bila kufanya vetting ambayo hata mteuzi mwenyewe lazima asome ripoti na cv pembeni.huyu Rais siyo smart
Inabidi ateue team yake na asafishe wa zamani, ateue watu watakaotembelea vision yakeMama keshafahamu analishwa matango pori, mama awe makini team inayomzunguka kuna watu wanapanga safu zao asipoangalia 2025 atajikuta nje...
Kwa hiyo alivyoletewa tu akamwaga wino bila kijiridhisha hadi wanajamii forums wamepiga kelele ndo kastuka!?Rais anafanya kazi na watu, anaweza kupokea na kudai taarifa muhimu kabla ya kufanya maamuzi ila hapa naona kabisa Kuna watu wanaenda kuwajibishwa na kutenguliwa kwa hili
Mimi nimeona Rais Samia Suluhu Hassan yuko makini kwa kufanya utenguzi huu mara moja
Kabisa mkuu hao ndio hutuletea viongozi mizigoKuna watu kwenye kitengo cha ushauri inabidi watumbuliwe.
Anatakiwa awatengue fasta hao watu tena aiweke public kuwa katwngua watu fulani kwa kumpotosha ili wanaokuja chukuabhiyo nafasi wajue wanapewa kazi gani...Rais anafanya kazi na watu, anaweza kupokea na kudai taarifa muhimu kabla ya kufanya maamuzi ila hapa naona kabisa Kuna watu wanaenda kuwajibishwa na kutenguliwa kwa hili
Mimi nimeona Rais Samia Suluhu Hassan yuko makini kwa kufanya utenguzi huu mara moja
hapa sawa kabisa. N vetting was done. Ni kuteua kwa ushauri wa CCM, bado remnants za jiwe zinatake influence
View attachment 1743826
Zaidi soma:
Vigogo watano akiwemo Mataragio wa Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC) wafikishwa Mahakamani kwa matumizi mabaya ya madaraka
Viongozi 5 wa Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC), wamefikishwa katika mahakama ya Kisutu, wakikabiliwa na shitaka la matumizi mabaya ya madaraka. Vigogo watano wa shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), akiwemo aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji, James Mataragio, wamepandishwa...www.jamiiforums.com
Rais Magufuli aiagiza Wizara ya Nishati kumrejesha kazini mara moja aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, Dkt. James Mataragio
JF walikoosea sana kuunganisha ule uzi kwani hili lilikuwa ni jambo sensitive sana la kujadiliwa kwenye uzi wa kujitegemea
huyu mama ana matatizo,kwanza nilihisi kitu siku ile katibu mkuu kiongozi anaapishwa,huyu mama alisema aliletewa jina na alikuwa hamfahamu??????huyu mama atatupeleka pabaya sana,mwanamke ni kiumbe dhaifu na nchi yetu hatupo tayari kwa sasa hivi kuongozwa na viumbe dhaifu,angemuuliza boss wake magu kwa nini alikaa miezi mitatu bila kuteua alikuwa na maana gani----