Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 15,692
- 23,038
Mkuu, utaratibu upo ila umevurugwa kitambo sana.
Yatakiwa overhaul changes kila idara na taasisi nyeti za serikali kama TPDC.
Ufisadi umo humo pamoja na vitendo vya uhujumu uchumi.
Kwa sifa na weledi bado mzee mataragio afaa sana.
Tumwombee aiongoze taasisi hiyo huku akiandaliwa mrithi wake.
Yatakiwa overhaul changes kila idara na taasisi nyeti za serikali kama TPDC.
Ufisadi umo humo pamoja na vitendo vya uhujumu uchumi.
Kwa sifa na weledi bado mzee mataragio afaa sana.
Tumwombee aiongoze taasisi hiyo huku akiandaliwa mrithi wake.