Rais Samia avuna TZS 677BL Ufaransa


..Disemba 9 ilizaliwa Tanganyika huru, sio Tanzania.

..Sio kwamba watu wanataka kuvunja muungano, bali kukandamiza Utanganyika / Watanganyika ni makosa.

..Kama Zanzibar ina Raisi basi Watanganyika nao wanastahili kuwa na Raisi. What is good for Zanzibaris must be good for Tanganyikans.

..Muungano ambao uko wazi kuhusu haki za Wazanzibari, lakini kimya kuhusu haki za Watanganyika, lazima utakuwa na malalamiko.
 
Tanganyika iko wapi? Mbona siioni kwenye ramani na Google Maps?
 
Jumla tutakua tunadaiwa trilion ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…