Hakuna Binadam asiye na makosa.... Basi yule Mgogo ajengewe hata sanamu ndogo tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna Binadam asiye na makosa.... Basi yule Mgogo ajengewe hata sanamu ndogo tu.
Hizo pesa ameokota???
Unadhani kla mtu humu ni zwazwa ehh???
Wenye wivu na akili fupi tayari wameshaanzisha ubaguzi. Sisi watanganyika na wao wazanzibari, wenye maono kama taa ya baiskeli wameshaanzisha chokochoko wakitaka kuvunja muungano.
Usiku wa kuamkia tarehe 9 Desemba 1961 nchi hii iliwekwa chini ya uangalizi wa Mungu pale Saint Joseph, huwa mfarakano wowote ule wenye nia ya kuvunja Tanzania unakufa kifo cha kawaida kabisa.
Bububu mpaka Jang'ombe.Hivi awamu ya Tano ya BRT inaanzia wapi mpaka wapi?
"Bora anayelia njaa kuliko wewe unaenda kuharishia washroom ya mahakama"Huyo Mbowe hana cha umwamba wala nini. Mwamba gani analialia njaa mahakamani?
Uliniona wapi? Hebu weka ushahidi hapa. Hilo lijamaa lako limelialia hadi magazeti yote yameandika. Eti mwamba, duh."Bora anayelia njaa kuliko wewe unaenda kuharishia washroom ya mahakama"
Hii ni "too low" kwa senior expert member kama wewe hapa just kwaani.Bububu mpaka Jang'ombe.
Tanganyika iko wapi? Mbona siioni kwenye ramani na Google Maps?..Disemba 9 ilizaliwa Tanganyika huru, sio Tanzania.
..Sio kwamba watu wanataka kuvunja muungano, bali kukandamiza Utanganyika / Watanganyika ni makosa.
..Kama Zanzibar ina Raisi basi Watanganyika nao wanastahili kuwa na Raisi. What is good for Zanzibaris must be good for Tanganyikans.
..Muungano ambao uko wazi kuhusu haki za Wazanzibari, lakini kimya kuhusu haki za Watanganyika, lazima utakuwa na malalamiko.
Hivi awamu ya Tano ya BRT inaanzia wapi mpaka wapi?
Njia ya gongolambotoHivi awamu ya Tano ya BRT inaanzia wapi mpaka wapi?
Too low ni kushindwa kutumia sekunde 10 kutafuta brt phases mtandaoni.Hii ni "too low" kwa senior expert member kama wewe hapa just kwaani.
Ni kichekesho. Yaani unafurahia eti kavuna, hivi mzungu unamjua akili yake?Amepanda nini hadi akavuna hizo billion mia sita???
Aisee hii nchi upuuzi ni mwingi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni pesa nyingi sana hiiSio haba....twende na kazi Mama
Huu ni msaada tuJumla tutakua tunadaiwa trilion ngapi?
Huyu mfaransa source ya civil wars nchi kibao atoe mabilion burebure lazima anania ovu ngoja tuoneHuu ni msaada tu
Naona urefu wa mama ni billion 100+ anazilokota vyema tu