zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Safi sana, kama naona sukuma gang mnavyo umia kwa hatua kuchukuliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama yupo kazini mkuuNatamani wafanye kweli,isiwe siasa
Hao makatibu wakuu wapo kazini?Mama yupo kazini mkuu
Wewee... Hamna kituuGo Samia...wezi wasikuchafulie serikali
Hamna jema? 🙏🙏🙏Mbuzi wa kafara wamepatikana
Lucas mwashambwa anaupiga mwingiMama etu anachapa kazi
Cc Lucas mwashambwa
Acha mambo yako, wee ndio mjuaji ,Kuna watu wako chini ya Rais ,ambao yeye mwenyewe kwanza anatakiwa kuwawajibisha wakati sheria ikitokea nyuma.Ungekuwa wewe ungefanyaje? Unazijua kazi na majukumu ya katibu mkuu kwenye wizard?
Duh watz wajuaji sana. Sasa hizi si ndio hatua zenyewe jamani ??? Mlitaka Whitwell wanyongwe bila hata kusikilizwa
DUh haya bhanaAcha mambo yako, wee ndio mjuaji ,Kuna watu wako chini ya Rais ,ambao yeye mwenyewe kwanza anatakiwa kuwawajibisha wakati sheria ikitokea nyuma.
Wewee..Safi sana, kama naona sukuma gang mnavyo umia kwa hatua kuchukuliwa
Dhamira ya mama ni kuifikisha pazuri nchi yetu tuiachie mamlaka naimani report ya CAG mwaka huu itafanyiwa kaziHao makatibu wakuu wapo kazini?
Inasikitisha sana mkuu 😭Dunia inavisa sana , huyu Rais, kama yeye ni muoga ,siatupishe .
Kwann Urais uwe mtamu Kwa fahari na ulaji ,lkn yeye mwenyewe mzembe na muoga ?.
Kwa kauli hiii inamaana Hawa Mawaziri waloguswa na CAG, wataendelea kudunda tu vizuri
haiji kutokea kamweeeeeeehKazi imeanza......
, naamini safari hii hakuna atakaye salimika kama tu amehusika either moja kwa moja or indirect, au kazembea kutimiza wajibu wake au makosa yamefanywa na walio chini yake.
Una hakika kuwa katanga hajateuliwa kuwa balozi wa kudumu wa umoja wa mtaifa?Katibu Mkuu Kiongozi hajatumbuliwa
kachuka hatua ganiAtleast Samia unaonekana umechukua hatua.
Ilikua inakwaza sana.!